Umemsikia huyu?
Huyuuu jamaaa sijamsikiaaa.. Wacha nimtafutea na video zake zingine....
Sijakataa kaka hapo Miley kamfunika mkongwe ila mkongwe ni mkongwe tu kuna vitu fulani Miley hawezi kuwa navyo ,unakumbuka wakati wana record ile nyimbo ya we are the world halafu bi mkubwa Dolly Parton anavyocharuka mle dah
Sijakataa kaka hapo Miley kamfunika mkongwe ila mkongwe ni mkongwe tu kuna vitu fulani Miley hawezi kuwa navyo ,unakumbuka wakati wana record ile nyimbo ya we are the world halafu bi mkubwa Dolly Parton anavyocharuka mle dah