Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Nampongeza sana bondia cheka kwa kuachana na pambano la j'mosi na kaseba.pambano hili lilikuwa nje ya utaratibu wa kawaida wa mchezo wa ngumi.na ikumbukwe cheka ni bingwa wa ngumi katika uzito wake.si sawa akajitokeza mtu tu na kutaka kupigana nae.
Huwezi kujitokeza tu from nowhere ukataka kupigana na pacquio,kuna taratibu zinazoongoza mapambano haya ni lazima ziheshimiwe na kufuatwa.
Nawapongeza sana waliomshauri cheka kuachana na hilo pambano lisilo na tofauti na bonanza.tuache kumdharau cheka ni mtu mkubwa sana kwa mchezo wa ngumi hapa nchini.kama masponsa wana nia nzuri na kipaji chache wanapaswa wamtafutie mapambano official yanayotambulika na mashirikisho ya ngumi duniani badala ya kumpeleka kwenye mabonanza.
Bip up cheka na washauri wako.
Huwezi kujitokeza tu from nowhere ukataka kupigana na pacquio,kuna taratibu zinazoongoza mapambano haya ni lazima ziheshimiwe na kufuatwa.
Nawapongeza sana waliomshauri cheka kuachana na hilo pambano lisilo na tofauti na bonanza.tuache kumdharau cheka ni mtu mkubwa sana kwa mchezo wa ngumi hapa nchini.kama masponsa wana nia nzuri na kipaji chache wanapaswa wamtafutie mapambano official yanayotambulika na mashirikisho ya ngumi duniani badala ya kumpeleka kwenye mabonanza.
Bip up cheka na washauri wako.