Nawasalimia sana bandugu wote wa JF. Napenda kuwajulisha kwamba leo ni birth day yangu, nikitimiza miaka 48. Namshukuru Mungu kwa yote, iwe kwa mafanikio au kwa kutofanikiwa kwani yeye ndiye mwingi wa rehema. Kibinadamu tunawaza na kupanga lakini mtekezaji ni Mungu pekee.Umri unaenda, majukumu ya kifamilia mengi, na uzee unasogea.