sasa high hills kwenye plateau unategemea nini? Ila nimempenda huyu dada hope hatakuwa mama huruma. Nasilia ni redio presenter ngoja nimgoogle kucheki anatangaza wapi!
Walitudanganya eti mwakilishi wa Bongo ni BHOKE wa EATV connect kumbe ni lotus sijui yule wa kipindi cha NIRVANA agrrrrrrrrrrr halafu kateleza kwenye tiles pale jukwaani hahahahahah nooooouma!!!
Tena wanawake ni wengi kuliko wanadume.
what a hot thing!
</p>Aliteleza wakati anaenda kukaa so i guess it's not a big deal ila kwa sisi wabongo tulivyo sishangai kukuta kila gazeti lina hiyo habari
Yap, naona watu wana-exaggerate sana halafu yule mdada wa Angola kile kivazi alichokuwa amevaa duh mimi yangu yalikuwa macho na hivi macho hayana pazia.na mie nilikuwa nashangaa,coz sikumuona akianguka!exagerration at its best!it happens na sio kwa sababu ya high heels,hata na flat shoes kutegemeana na sakafu ilivyo!
<p></p>
<p> </p>
Yap, naona watu wana-exaggerate sana halafu yule mdada wa Angola kile kivazi alichokuwa amevaa duh mimi yangu yalikuwa macho na hivi macho hayana pazia.