Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,974
- 22,166
Wapendwa kuna dada mmoja alikuwa sister du mtaani
akamkamata mchina mmoja wamefanikiwa kupata mttoto wa kike
kwa bahati mbaya ma juzi mtoto alifariki dunia kwa kweli ni huzuni kubwa
matokeo yake wamekuja ndugu zake mwanamke toka mbeya wanaanza kusema
ovyo mara ooh mi nilijua tu hizi bidhaa za kichina feki tupu akuna original
mi kama mi sitozaa na mchina hata kidogo achelewi kunizalisha ""DOGOLI""bila kujua
Jamani mbona mali zao mnazipenda mnazitumia ikitokea matataizo mnaanza kuwaka feki feki si ubiandamu nao ni watu kama sie jamani......kama wanatuleteea bidhaa feki sidhan mpaka
kwenye sperms wanatuletea feki haya yetu macho
Polen wafiwa
akamkamata mchina mmoja wamefanikiwa kupata mttoto wa kike
kwa bahati mbaya ma juzi mtoto alifariki dunia kwa kweli ni huzuni kubwa
matokeo yake wamekuja ndugu zake mwanamke toka mbeya wanaanza kusema
ovyo mara ooh mi nilijua tu hizi bidhaa za kichina feki tupu akuna original
mi kama mi sitozaa na mchina hata kidogo achelewi kunizalisha ""DOGOLI""bila kujua
Jamani mbona mali zao mnazipenda mnazitumia ikitokea matataizo mnaanza kuwaka feki feki si ubiandamu nao ni watu kama sie jamani......kama wanatuleteea bidhaa feki sidhan mpaka
kwenye sperms wanatuletea feki haya yetu macho
Polen wafiwa