Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
No luv without sex...No sex without luv!
Kwa hiyo ndo unataka kusemaje hapo sasa The Boss????
Penzi la dhati ndiyo bidhaa adimu kuliko zote maishani. Haiuzwi kokote, ukiipata unaweza usiithamini, thamani yake ukaiona ukisha ipoteza.
Ukipendwa kwa dhati nawe thamini penzi unalopewa.
Tusiongopeane sasa hv kuna sex tu hakuna love.
hapo umenena mwenzangu,wake kwa waume siku hizi wanawaza sex tu,siku mbili tatu weshachokana.hakuna love hapo ni kutamaniana tu.
V'p na black dimond thaman yake waijua?Penzi la dhati ndiyo bidhaa adimu kuliko zote maishani. Haiuzwi kokote, ukiipata unaweza usiithamini, thamani yake ukaiona ukisha ipoteza.
Ukipendwa kwa dhati nawe thamini penzi unalopewa.
Penzi la dhati ndiyo bidhaa adimu kuliko zote maishani. Haiuzwi kokote, ukiipata unaweza usiithamini, thamani yake ukaiona ukisha ipoteza.
Ukipendwa kwa dhati nawe thamini penzi unalopewa.
Katika watu naowapenda JF sanasana MMU ni wewe thread zako zinavutia na hazitii uvivu kusoma raha kweli unasoma kidogo tu ushaelewa sante sana mtoto mzuri eeehhh me love you......
Umenena vyema kabisa kitu penzi hauwezi kupata thamani yake zaidi ya moyoni mwa mtu........... hata juzi niliwaambia nnunu na wenzie kina maty, WL, nk kuwa mie mambo ya zawadi simindi kivile ilimradi moyo wake kauelekeza kwangu hata kama ananichuna mie poa tu ha haha ha ha asubuhi njema bana