Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Nilijifunza elimu ya siku za mwisho, nimeona vitu vingi sana na nikagundua usipokua msomaji ni rahis sana kupata elimu ya uwongo bila kujua.
Biblia ni kitabu kinachokupa uwezo wakupambanua mambo ya kiroho na kimwili
 
Nani kasema watu hawawezi Jenga pyramids... Mzungu anapeleka mtu mwezini we unaongelea technology ya dreams. Kama unataka ujue umeendelea au la nenda kaishi vijiji vya jangwani huko ambavyo hawana modern technology tuone ka utayaweza mshukuru mzungu coz mwanzo wa kukataa kwake uhuni na uongo ndo umemfanya aweze tatua matatizo na kuvumbua vitu sisi tumekuwa watumiaji tu na tunatawaliwa coz wenzetu wanatumia akili zao we unangoja miujiza
Una uhakika gani sisi tumekua watumiaji tuu?

Unajua maisha yaliyopita mtu mweusi ndio alikuwa na uwezo wote?

Unajua kuwa Mzungu alikua mtumwa hukohuko ulaya??

Unajua watu waliishije kipindi cha mapyramid yanajengwa? Au kipindi cha early civilization ya mwanadamu miaka zaidi ya elfu ngapi iliyopita?

Unafahamu dunia ilikuaje kipindi cha utawala wa mansa musa?

Au mfalme sulemani?

Kuna vingi hujui kwa sababu kimwili bado historia haijagusia..hata kidogo..au inapalasa tuu

Sayansi imegundua hivi karibuni maisha kwenye kona za arctic yalivyo miaka milioni mbili iliopita via mabaki ya dna ya zamani...

We all know nothing, tofauti yegu i pale tunapotaka kujua...
 
Biblia ina visa vy akuchekesha, mpaka najiuliza , huyu Mungu aliyeiandika biblia alikuwa ni "comedian"? Mfano mzuri, bofya chini hapo;

Biblia kwa sehemu kubwa inakufundisha Tabia ya Mungu.

Katika tukio lililomkuta Yakobo ni kwamba alishindana na mjumbe wa Mungu ambae ni Malaika, sasa jiulize Yakobo alikamatana vipi na huyo Malaika na kudai baraka
alikuwa na uwezo mkubwa wa kutawala ulimwengu wa roho.
Tukio hilo lilikuwa ni spirital realm na sio physical realm

Ni tabia ya Mungu Kumpa mwanadamu kuchagua.

Musa aliambiwa na Bwana kuwa niangamize Waisraeli wote kisha nikufanye wewe kuwa taifa lakini Musa alikataa na kupinga alichosema Bwana.

Hiyo ni Tabia Ya Mungu Tunajifunza kupitia maandiko ya Biblia.
 
Biblia kwa sehemu kubwa inakufundisha Tabia ya Mungu.

Katika tukio lililomkuta Yakobo ni kwamba alishindana na mjumbe wa Mungu ambae ni Malaika, sasa jiulize Yakobo alikamatana vipi na huyo Malaika na kudai baraka
alikuwa na uwezo mkubwa wa kutawala ulimwengu wa roho.
Tukio hilo lilikuwa ni spirital realm na sio physical realm

Ni tabia ya Mungu Kumpa mwanadamu kuchagua.

Musa aliambiwa na Bwana kuwa niangamize Waisraeli wote kisha nikufanye wewe kuwa taifa lakini Musa alikataa na kupinga alichosema Bwana.

Hiyo ni Tabia Ya Mungu Tunajifunza kupitia maandiko ya Biblia.
Aaah bana, usiweke maneno yako kwenye biblia.

Sogea mbele hapohapo mstari wa 30, jisomee:

30 Yakobo akapaita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.



Huwa najiuliza huko kati kati ya mapaja alivuta ninihii za Mungu huko?

Aisee, huyu mruzi wa biblia ni bonge la komedian.

Kuna nyingine ile ya David katakiwa apeleke magovi 100 iwe ndiyo mahari, unaikumbuka?

Dah, wacha Waislam wayaondowe kabisa utotoni, yasije yakawa mahari za watu.

Kwi kwi kwi kwi teh teh teh.

 
Mwanadamu ujue anajihisi kwamba anajua sana, ana akili nyingi, au anataka kujijua zaidi, na kutambua kipande chake cha maisha, historia na uwezo au Power (utawala) aliokuwa nao kabla ya hapa..

Mwanadamu mpaka sasa, kulingana na maendeleo ya kiteknolojia na ukuaji wa akili, anaamini kuwa muda wake wa kujua, kudadisi na kujifikiria ndio huu, umefika.

Mwanadamu wa sasa anafanya uumbaji, anatengeneza AI mbalimbali ambazo zinarahisisha na kuongeza spidi ya maendeleo exponentially, Space crafts, ISS, Supercomputers, etc

Mwanadamu anaweza hadi kupossess some spiritual powers, kuzungumza na waliotangulia, kujua na kuelewa mambo makubwa zaidi ya kiroho na kuyafanya yamnyanyue juu zaidi...mifano hai ni watu maarufu, wasani, wachezaji mpira akina ronaldo na messi, na kadhalika, na kadhalika.

So, hili swali linaonekana gumu kidogo kwa sababu ni suala la muda tuu, mwanadamu atakua mungu mtu, kama ilivyoandikwa katika Biblia.

Biblia ni user manual ya mwanadamu, na mwanadamu ni machine ya Mungu.

So, kwa ufupi ni kwamba, Mungu ni Fundi wa mwanadamu...na ndio, yupo..alikwepo na atakuwepo, milele na milele.

Ulimwengu wa Mungu ni wa milele, ilanulimwengu wa mwanadamu...naaah

Ulimwengu wa maroboti (ambayo yametengenezwa na mwanadamu) unaweza kuwa wa milele, maana bado mwanadamu mwenyewe anaendelea kupambana kuutafuta umilele..

Acheni uboya, Mungu yupo..shauri lenu..

Kwa wanadamu wanaoendelea kujidanganya ujinga kuwa hakuna Mungu, swali langu ni hili..ni lini mwanadamu atapata umilele kwenye maisha yake?

Jibu ni hapana,

Mwanadamu alipataga umilele wa maisha miaka hiyo, ila Creator akamaindi, akamchekecha na kumuachia miaka mia hapoo..kwa sababu ya mambo hizihizi za aakili nyingi..

Unadhani hata milima ya Olympus kule Mars imetokana na nini? Mars ni sayari ya vita...na pale alikaaga mtawala wa Solar system yote hii, enzi hizo dunia ndio ilikua Venus..

Kwa wataalamu wa unajimu nadhani wanajua mambo haya, na hata zile historia za mchongo za wagiriki zinagusiagusia kidogo mambo haya..

Nyie wafia dini kiama chenu lini?
 
Aaah bana, usiweke maneno yako kwenye biblia.

Sogea mbele hapohapo mstari wa 30, jisomee:

30 Yakobo akapaita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.



Huwa najiuliza huko kati kati ya mapaja alivuta ninihii za Mungu huko?

Aisee, huyu mruzi wa biblia ni bonge la komedian.

Kuna nyingine ile ya David katakiwa apeleke magovi 100 iwe ndiyo mahari, unaikumbuka?

Dah, wacha Waislam wayaondowe kabisa utotoni, yasije yakawa mahari za watu.

Kwi kwi kwi kwi teh teh teh.

Mimi sijaona kinachochekesha mbona.
wakisema uso kwa uso, unaelewa Mungu na yeye alipeleka uso wake wenye macho na mapua kama yako kuongea na Yakobo 🤣🤣

Atheist wengi wanauliza swali kuwa Kama Mungu yupo kwanini anaruhusu uwovu na watu kunyimwa haki zao.

Kwahiyo sio kila jambo baya kwenye masikio ya binadamu basi limetokana na Shetani na sio kila jambo zuri kwenye masikio ya binadamu basi limetokana na Mungu.

Elimu hii huna kabisa.

Biblia ndio kitabu pekee kinachofundisha Tabia ya Mungu kwa upana mkubwa sana.
 
Maswali yanayojibiwa na hichi kitabu ni Mengi sana, mfano...

01. Upendo vs Maovu
Biblia imeelezea sana hili neno upendo, faida zake na hasara zake, ni kwanini mwanadamu anapenda na n.k
Tabia ya mwanadamu ni ubinafsi, uchoyo, wivu na mengine mengi

Historia kubwa ya uwovu inapatika humo, taifa kupigana na taifa.

Vyanzo vingi mbalimbali vya kivita.

Serikali za kifalme zilifanya mambo gani hapo zamani.

Visa vya vita kubwa hapa duniani na sababu zake.

watu wenye nguvu na ukuu.

Mali au utajiri umeleta mfalakano makubwa sana kati ya mtu na mtu.

Mabadiliko ya hali ya hewa njaa na majanga tofauti tofauti yameelezwa.

02. Nielezee kidogo uumbaji wa mwanadamu ulikuaje kwa Mujibu wa biblia.
Mwanzo 1:26-27

[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Hii sura ya Kwanza ni roho ya mwanadamu ndio ilifanywa na Mungu.

Lakini katika sura ya pili ndio tunaona Mwili ukitengenezwa.
pamoja na nafsi.

Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

kwahiyo.
Binadamu ni
01. Roho
02. Mwili
03. Nafsi.

Ukiwa na elimu hii ni mwanzo mzuri sana wa kujua vitu vingi kuhusu...

Mambo ya rohoni na Mambo ya mwilini au
Ulimwengu wa roho na Ulimwengu wa mwili.

Sijui kama kuna kitabu kingine chenye majibu mengi sana ya maswali yangu na wengine pia kama mnamaswali.

Kama kutakua na kitabu kingine ningependa kukifahamu niweze kukisoma pia.

Uwe na Amani na furaha nafsini.

Don't forget to Meditate 🧘‍♂️
Sio kweli.

Biblia haiwezi kutoa majibu, badala yake inakuongezea maswali zaidi kama utadhani ni uhalisia.

Yaani swali unakuwa nalo moja au mawili, ukiisoma biblia yanakuwa 500.

Hivyo nashauri watu tujihadhari na usomaji wa vitabu hivi vya hadithi kwa kuvitilia umaanani.
Unaweza kusoma kama sehemu mojawapo ya kutafuta burudani ya kazi ya fasihi.
 
Ibada ni lile tendo la Kuabudu.

Kuabudu maana yake ni - hisia au maonyesho ya heshima kwa Mungu.

Nimegoogle mkuu.
Mpaka hapa hichi kipengele umeshindwa.

Biblia imeshindwa kuelezea vipi ndoa ifungwe, vipi mtu afanye ibada, bali hata kuzika imeshindwa kuelezea. Sasa vipi Biblia itumike au kiwe kitabu kilicho elezea mafungano ya mwanadamu ?

Kadhalika kwenye suala la Biashara, vipi mtu auze na kununua.
 
Acheni uboya, Mungu yupo..shauri lenu..

Kwa wanadamu wanaoendelea kujidanganya ujinga kuwa hakuna Mungu, swali langu ni hili..ni lini mwanadamu atapata umilele kwenye maisha yake?

Jibu ni hapana,
Kama jibu ni hapana what next?

Hiyo ndiyo inafanya mungu awepo?
Mwanadamu alipataga umilele wa maisha miaka hiyo, ila Creator akamaindi, akamchekecha na kumuachia miaka mia hapoo..kwa sababu ya mambo hizihizi za aakili nyingi..
Unaweza thibitisha haya madai yako,

Unaeeza kuthibitisha uwepo wa Mungu!?
 
Mpaka hapa hichi kipengele umeshindwa.

Biblia imeshindwa kuelezea vipi ndoa ifungwe, vipi mtu afanye ibada, bali hata kuzika imeshindwa kuelezea. Sasa vipi Biblia itumike au kiwe kitabu kilicho elezea mafungano ya mwanadamu ?

Kadhalika kwenye suala la Biashara, vipi mtu auze na kununua.
😂😂😂 Twende taratibu.

Leta maana ya ibada kwanza, sio unapinga tu bila sababu.

Wanafunzi wako watafeli mtihani sasa.
Mimi maana niliyoleta nimeipatia Google 😃 nimesearch nikaipata kirahis
 
Una uhakika gani sisi tumekua watumiaji tuu?

Unajua maisha yaliyopita mtu mweusi ndio alikuwa na uwezo wote?

Unajua kuwa Mzungu alikua mtumwa hukohuko ulaya??

Unajua watu waliishije kipindi cha mapyramid yanajengwa? Au kipindi cha early civilization ya mwanadamu miaka zaidi ya elfu ngapi iliyopita?

Unafahamu dunia ilikuaje kipindi cha utawala wa mansa musa?

Au mfalme sulemani?

Kuna vingi hujui kwa sababu kimwili bado historia haijagusia..hata kidogo..au inapalasa tuu

Sayansi imegundua hivi karibuni maisha kwenye kona za arctic yalivyo miaka milioni mbili iliopita via mabaki ya dna ya zamani...

We all know nothing, tofauti yegu i pale tunapotaka kujua...
Umesoma ndugu.
Kuna Mambo mengi ya kujifunza kwenye historia ya Mahusiano ya Mungu na Mwanadamu.

Utawala ni Siasa inayohusisha Nguvu za kiroho.
Ndio maana wengi wanasema kushinda uongozi kwa maneno tu sio rahis, lazima kuwe na nguvu fulani nyuma yako.

Huwezi elewa dunia inakwendaje bila kutafuta uelewa wa mambo ya rohoni na nguvu za kiroho.
 
Aaah bana, usiweke maneno yako kwenye biblia.

Sogea mbele hapohapo mstari wa 30, jisomee:

30 Yakobo akapaita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.



Huwa najiuliza huko kati kati ya mapaja alivuta ninihii za Mungu huko?

Aisee, huyu mruzi wa biblia ni bonge la komedian.

Kuna nyingine ile ya David katakiwa apeleke magovi 100 iwe ndiyo mahari, unaikumbuka?

Dah, wacha Waislam wayaondowe kabisa utotoni, yasije yakawa mahari za watu.

Kwi kwi kwi kwi teh teh teh.

It is not a physical eyes, it is spiritual eye.


Understand it
 
Back
Top Bottom