Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,227
- 3,948
Biblia ni kitabu kinachokupa uwezo wakupambanua mambo ya kiroho na kimwiliNilijifunza elimu ya siku za mwisho, nimeona vitu vingi sana na nikagundua usipokua msomaji ni rahis sana kupata elimu ya uwongo bila kujua.