Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,081
- Thread starter
- #41
kiufupi ni kwamba sheria za kikristo hazina msaada hapo inabidi hata kanisa lianze kupindisha sheria.Kuvunjika kwa ndoa ya kikatoliki lazima kwanza wawe wameanzia kwenye mahakama ya kanisa ndoa inakuwa imebatilishwa halafu ndio waende mahakama ya serikali.
Usiwe unabisha ili mradi tu ulete ubishi. Kubali kuelimika. Fanya research yako vizuri.
Kwa maneno yaliyomyoka Yesu ndoa haivunjiki isipokuwa kwa usaliti wa kuzini nje ya ndoa
hizo sheria nyingine hazina utofauti na papa aliyeanza kuwapa baraka mashoga