Bibi Titi Mohammed: Historia, harakati na wasifu wake

Sheikh Mohamed Said tupe kidogo juu ya Kambona na Bibi Titi ukaribu wao ulikuweje
Kiatu...
Katika TANU kulikuwa na wasemaji kwa maana ya wahutubuaji wakubwa
wawili nao walikuwa ni Nyerere na Bi. Titi Mohamed.

Hawa wawili ndiyo walikuwa vinara wa harakati.

Kambona alikuja baadae katika TANU na yeye alikuwa na uwezo mkubwa
pia lakini hakumzidi Bi. Titi katika kukibeba chama.

Kwa kipindi kile cha kudai uhuru Bi. Titi alikuwa juu zaidi aking'ara zaidi ya
Kambona.

Kambona
alikuja kuwa juu baada ya uhuru kwani haukupita muda Bi. Titi
na Nyerere wakakuruzana mwaka wa 1963 Nyerere alipoonysha dalili za
kutaka kuifungia East African Muslim Welfare Society (EAMWS).
 
Lizabon sijui kama anamfahamu huyu bibi titi RIP bibi titi sisi tuliokupe miaka hiyo tunajua mchango wake
 
Kiatu...
Katika TANU kulikuwa na wasemaji kwa maana ya wahutubuaji wakubwa
wawili nao walikuwa ni Nyerere na Bi. Titi Mohamed.

Hawa wawili ndiyo walikuwa vinara wa harakati.

Kambona alikuja baadae katika TANU na yeye alikuwa na uwezo mkubwa
pia lakini hakumzidi Bi. Titi katika kukibeba chama.

Kwa kipindi kile cha kudai uhuru Bi. Titi alikuwa juu zaidi aking'ara zaidi ya
Kambona.

Kambona
alikuja kuwa juu baada ya uhuru kwani haukupita muda Bi. Titi
na Nyerere wakakuruzana mwaka wa 1963 Nyerere alipoonysha dalili za
kutaka kuifungia East African Muslim Welfare Society (EAMWS).
Asante je ni hisia au ilikuwa kweli Bibi Titi aliungana na wale wana mapinduzi maana kama ilifikia hatua ya kuchukua Mali zake alipokuwa kizuizini je ni kitu gani kilikuwa nyuma ya pazia
 
Asante je ni hisia au ilikuwa kweli Bibi Titi aliungana na wale wana mapinduzi maana kama ilifikia hatua ya kuchukua Mali zake alipokuwa kizuizini je ni kitu gani kilikuwa nyuma ya pazia
Kiatu...
Mimi Bi. Titi alipata kuniambia kuwa hakuhusika na ile mipango aliyotuhumiwa.

Akanambia pia aligombana na Nyerere mwaka wa 1963 ndani ya Halmashauri
Kuu ya TANU kwa sababu ya EAMWS pale Nyerere alipotaka ndani ya TANU NEC
aungwe mkono kuivunja jumuia hiyo,

Katika watu waliompinga alikuwa Bi. Titi na ilifikia kutoleana maneno makali.

Bi.Titi alikuja akaeleza ugomvi huu katika mahojiano aliyofanya na gazeti la Rai
la 29 Desemba 1994.

Baada ya ugomvi ule Nyerere akamchukia Bi. Titi na akaanza kupanga njama
za kumuangamiza yeye na Tewa kwa kuwa wote wawili walikuwa viongozi wa
EAMWS.

Ilipofika uchaguzi wa 1965 ndipo Bi. Titi na Tewa wote wakabwagwa katika
majimbo yao kwa njama.

Hata hivyo haya mimi nilikuwa tayari nilishaelezwa zamani na Mzee Tewa na
Mzee Bilal Waikela.
 
Kiatu...
Mimi Bi. Titi alipata kuniambia kuwa hakuhusika na ile mipango aliyotuhumiwa.

Akanambia pia aligombana na Nyerere mwaka wa 1963 ndani ya Halmashauri
Kuu ya TANU kwa sababu ya EAMWS pale Nyerere alipotaka ndani ya TANU NEC
aungwe mkono kuivunja jumuia hiyo,

Katika watu waliompinga alikuwa Bi. Titi na ilifikia kutoleana maneno makali.

Bi.Titi alikuja akaeleza ugomvi huu katika mahojiano aliyofanya na gazeti la Rai
la 29 Desemba 1994.

Baada ya ugomvi ule Nyerere akamchukia Bi. Titi na akaanza kupanga njama
za kumuangamiza yeye na Tewa kwa kuwa wote wawili walikuwa viongozi wa
EAMWS.

Ilipofika uchaguzi wa 1965 ndipo Bi. Titi na Tewa wote wakabwagwa katika
majimbo yao kwa njama.

Hata hivyo haya mimi nilikuwa tayari nilishaelezwa zamani na Mzee Tewa na
Mzee Bilal Waikela.
Asante kwa ufafanuzi mkuu
 
Kiatu...
Mimi Bi. Titi alipata kuniambia kuwa hakuhusika na ile mipango aliyotuhumiwa.

Akanambia pia aligombana na Nyerere mwaka wa 1963 ndani ya Halmashauri
Kuu ya TANU kwa sababu ya EAMWS pale Nyerere alipotaka ndani ya TANU NEC
aungwe mkono kuivunja jumuia hiyo,

Katika watu waliompinga alikuwa Bi. Titi na ilifikia kutoleana maneno makali.

Bi.Titi alikuja akaeleza ugomvi huu katika mahojiano aliyofanya na gazeti la Rai
la 29 Desemba 1994.

Baada ya ugomvi ule Nyerere akamchukia Bi. Titi na akaanza kupanga njama
za kumuangamiza yeye na Tewa kwa kuwa wote wawili walikuwa viongozi wa
EAMWS.

Ilipofika uchaguzi wa 1965 ndipo Bi. Titi na Tewa wote wakabwagwa katika
majimbo yao kwa njama.

Hata hivyo haya mimi nilikuwa tayari nilishaelezwa zamani na Mzee Tewa na
Mzee Bilal Waikela.
Sina la kusema zaidi ya kukupongeza Mzee wangu, Muhammad ibnu Saidi.
ALLAH akulipe zaidi na akujaalie afya njema, akuondolee kila aina ya fitna juu ya hili la kuileta Historia ya ukweli iliyofichwa kwa makusudi.
AMIN
 
cc; Elli BAK MANI tpaul zumbemkuu
Sina hakika kama historia hii mumewahi kuisoma maana thread hii ni ya zamani ila leo mie ndio nimeiona. Nimewashirikisha ili muwaze kama niwazavyo mimi hapa nilipo. Tufanye habari hii ni ya kweli, halafu tuchukulie maisha ya wakati huo (almost 60 years ago) na ya wakati huu tulionao. Kumbe duniani hakuna jipya kabisa! Haya mambo yetu haya kumbe yalikuwepo sana na hayata tuzuia kufikiriwa utakatifu hapo baadae kama tutayaenzi. Ni mtizamo tuu
Namfahamu Bibi Titi kama mmoja wa wanaharakati waliosimama kidete kupigania uhuru wa nchi hii. Alikuwa mwanamama shupavu ambaye ametajwa mara kadhaa katika historia ya kupigania uhuru wa Taifa hili. Ni bahati mbaya kwamba wanaharakati kama hawa huwa hawapewi umuhimu mkubwa katika nchi yetu. Hata wakati anaumwa serikali ilishindwa kumpeleka nje ya nchi akajikuta anafia ktk hospitali ya Hindu Mandal. Umuhimu wa mwanamama huyu unapuuzwa sana na wanasiasa kama vile wanavyopuuza umuhimu wa hayati Abdu Jumbe ambaye naye alifia nyumbani kwake kigamboni baada ya serikali ya CCM kugoma kumpeleka akatibiwe nje ya nchi. Inauma sana.
 
Namfahamu Bibi Titi kama mmoja wa wanaharakati waliosimama kidete kupigania uhuru wa nchi hii. Alikuwa mwanamama shupavu ambaye ametajwa mara kadhaa katika historia ya kupigania uhuru wa Taifa hili. Ni bahati mbaya kwamba wanaharakati kama hawa huwa hawapewi umuhimu mkubwa katika nchi yetu. Hata wakati anaumwa serikali ilishindwa kumpeleka nje ya nchi akajikuta anafia ktk hospitali ya Hindu Mandal. Umuhimu wa mwanamama huyu unapuuzwa sana na wanasiasa kama vile wanavyopuuza umuhimu wa hayati Abdu Jumbe ambaye naye alifia nyumbani kwake kigamboni baada ya serikali ya CCM kugoma kumpeleka akatibiwe nje ya nchi. Inauma sana.
Mkuu bibi Titi,alifia hospitalin Johannesburgh Africa kusini
 
Kama sitakosea niliwahi simuliwa na mzee wangu kuwa bibi huyo aliwekwa kizuizini ktk kijiji cha gumbiro barazani songea vijijini karibu na madaba akiwa kama bibi maendeleo.watu wa gumbiro ya zamani wanamfahamu sana bibi huyo
Alikuwa mpananaji huyuuu
 
Kiatu...
Mimi Bi. Titi alipata kuniambia kuwa hakuhusika na ile mipango aliyotuhumiwa.

Akanambia pia aligombana na Nyerere mwaka wa 1963 ndani ya Halmashauri
Kuu ya TANU kwa sababu ya EAMWS pale Nyerere alipotaka ndani ya TANU NEC
aungwe mkono kuivunja jumuia hiyo,

Katika watu waliompinga alikuwa Bi. Titi na ilifikia kutoleana maneno makali.

Bi.Titi alikuja akaeleza ugomvi huu katika mahojiano aliyofanya na gazeti la Rai
la 29 Desemba 1994.

Baada ya ugomvi ule Nyerere akamchukia Bi. Titi na akaanza kupanga njama
za kumuangamiza yeye na Tewa kwa kuwa wote wawili walikuwa viongozi wa
EAMWS.

Ilipofika uchaguzi wa 1965 ndipo Bi. Titi na Tewa wote wakabwagwa katika
majimbo yao kwa njama.

Hata hivyo haya mimi nilikuwa tayari nilishaelezwa zamani na Mzee Tewa na
Mzee Bilal Waikela.
Kumbe haya mambo ya kususiana yalianza zamani? Ukipingana na mawazo ya wakubwa hata kwa mema ni janga!
 
TUNAPOMKUMBUKA MWALIMU NYERERE



TUMEMSAHAU BIBI TITI BINT MOHAMED?

Kama Mtanzania; basi Bibi Titi bint Mohamed alikuwa namba mbili! Kama ni mwanamke "ngangari" kinoma; Bibi Titi bint Mohamed alikuwa ngangari wa "mapanga shaa shaa"&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];huyu alikuwa mwanamke aliyejitolea kuipigania nchi yake (Tanganyika) na hatimaye Tanzania.

Hata hivyo, sidhani kama anapewa "nafasi" yake anayostahili!Ili kuitendea haki historia; na kuweka kumbukizi itakayojenga heshima ya nchi yetu katika kusimamia ukweli na maridhiano kuna kila sababu ya kuweka nafsi kwa wale wote waliyopigania "Uhuru wa Tanganyika" hata kama walikuja kukorofishana na Mwalimu Nyerere.

Unajua historia haiwezi kufichwa kwa gharama ya kuandika "propaganda' na kuwaficha watu kama Bibi Titi bint Mohamed na au kuwatenga kwenye "history of the making". Waandishi, wachambuzi na wapembuzi makini na wanaojali taaluma ya ukweli (na uhalisia) hawana budi kuandika ukweli juu ya mwanasiasa huyu aliyejitolea hali na mali kukiwezesha chama cha TANU kuungwa mkono na wanawake na hata akaweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza mbunge na waziri kwenye serikali ya Awamu ya Kwanza.

Huu ni ukumbusho kwenu nyote; mnapomkumbuka Mwalimu Nyerere mkumbukeni na Bibi Titi bint Mohamed kwani mchango wake ni mkubwa sana nay eye (Bibi Titi bint Mohamed) sasa ni marehemu anayehitaji kutajwa na kukumbukwa kama mwanaharakati.
Mbona kuna baadhi ya thread zina maandishi madogo?
 
Bibi Titi Mohamed, mwanamke aliyesimama jukwaa moja na Mwalimu Nyerere kupigania uhuru wa Tanganyika.

82ebd649d6dfb6d80948631e0aa27616.jpg


0fa309a1fc29cf898735cf4d00867b29.jpg


Sikuwahi kujua kumbe ile bara bara ya Bibi titi na Mohamed alipewe huyu mama..

Mjue zaidi hapo..

Bibi Titi Mohammed: Historia, harakati na wasifu wake
 
Back
Top Bottom