Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
WanaJF epukeni kutoa kauli tata kama haitapita wiki hii lazima ufe na zinazofanana na hizo katika jamii inayotuzunguka ili yasije kukukuta kama ya bibi mmoja kikongwe mkoani Maswa - Shinyanga aliyemuahidi mtu haitapita miezi miwili utakufa. Kweli bibi hakuwa na miadi na Mungu yule jamaa akafa ndani ya kipindi hicho, siku ya mazishi ndugu walitaka kumzika na marehemu kwa minajili ya ulozi wa kibibi hicho!
WanaJF mnaopenda ubabe chungeni kauli tata yasije kuwakuta ya bibi kizee.
Source TBC1
WanaJF mnaopenda ubabe chungeni kauli tata yasije kuwakuta ya bibi kizee.
Source TBC1