Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,779
- 14,311
Ngoja waje waseme ila nina wasiwasi kuna watu watakuwa na mashaka na mtaji wako.
hayo maeneo yanajulikana hata wewe unayajua. Ukiona mtaa una bodaboda nyingi si ndio hapo unapopahitaji!!! Maswali mengi namna hiyo mwishowe ukishaambiwa utaanza kuuliza faida ikoje. Ingia kwenye business take risk. Kama mtaji unao jitose na mtegemee mwenyezi mungu. Watu wanashindwa sana kuelewa masuala ya kufanikiwa katika maisha muwezeshaji ni yeye Rabbana. Mtu anaanza na mtaji wa milioni moja anakuwa milionea na wewe unaanza na milioni 50 unaishia kuganga njaa tu.Habari zenu wanaJF. natumaini mnaendelea vema na shughuli zenu za kimaendeleo. ninaomba msaada wa kutambua maeneo yenye wakazi na watumiaji wengi wa vifaa vya pikipiki. endapo kuna mtu anaweza kunisaidia hilo, tafadhali nijulishe kwa whatsap 0784-419775. natanguliza shukrani zangu za dhati kwa yeyote atayenisaidia kunishauri eneo.
nawatatika kazi njema.
Mkonowapaka kwa mtaji wako mimi naweza kukuunganisha na kiwanda cha spea za piki piki kule China na utaweza kuagiza mwenyewe na utapiga hela sawa na hao wahindi.
Wewe ukiwa tayari utaniconsult, mimi ni importer wa vitu vingine ila kuna jamaa yangu niliwahi kumpa huo mchongo ila akakosa mtaji.
Yah! Asante.
Karibu Sikukuu/Amani tuongee kaka pia no. Yangu ni 0658131333. Pia iko kwenye whatsapple .
Mtite una mawazo kama.yangu...biashara ya vifaa vya pikipiki kwa kweli inalipa ukizingatia kwa sasa pikipiki ni nyingi sana mtaaniKonzogwe, tafadhali naomba nami uniunganishe na hawa jamaa, nimetafuta muda mrefu kupata contact kama hii.
SHUKRAN KWA TAARIFAnjoo rujewa mbarali maana huku ndio kuna pikpiki nyingi maduka mawili tu.
ENEO GANI MWANA, NI MUHIMU KUJUADa,mimwenyewe nimeplan kati ya biashara hii duka la kompyuta na simu kuna mwana kafungua anasema inamtoa
IRINGA KUBWA, IPOGOLO, MWANGATA, ILULA, KIHESA, STENDI PALE TOWN AU WAPI MWANA?Ye yupo Iringa
kwani rujewa hapawezi kukufaa.SHUKRAN KWA TAARIFA
PANAFAA PIAkwani rujewa hapawezi kukufaa.