Money gang
New Member
- May 4, 2021
- 3
- 4
Habari za majukumu wapambanaji wenzangu.
Nipo kwenye hili jukwaa leo kuomba msaada kuhusu a to z ya biashara ya urembo wa magari yaani car accessories kama carpets, steering cover, radio, stickers, air freshner, na vingine vingi ambavyo sijavitaja.
Ningependa kujua nitahitaji mtaji wa shilingi ngapi kwa kuanzia na ni wapi nitapata mzigo kwa bei ya jumla? Sina mtaji wa kuagiza mzigo nje ya nchi kwa sasa.
Biashara nataka kuiweka kanda ya kati, asanteni!
Nipo kwenye hili jukwaa leo kuomba msaada kuhusu a to z ya biashara ya urembo wa magari yaani car accessories kama carpets, steering cover, radio, stickers, air freshner, na vingine vingi ambavyo sijavitaja.
Ningependa kujua nitahitaji mtaji wa shilingi ngapi kwa kuanzia na ni wapi nitapata mzigo kwa bei ya jumla? Sina mtaji wa kuagiza mzigo nje ya nchi kwa sasa.
Biashara nataka kuiweka kanda ya kati, asanteni!