che-guavara
Member
- Jul 6, 2011
- 58
- 22
Mhhi.magari yote yanakuwa cleared bandarini.ina maana wana mpaka viwanda nje.wabongo IMETOSHA tuanze kuishi na Akili zetu.tumekua na external drivers miaka mingi, we dont even sleep with our brain.
Juzi juzi town jamaa alitinga bank na gari moja hatari akiwa na suti matata miwani mikubwa na mkoba wa kuninginiza mkononi!kimtindo anaonesha ni mwenyefweza za kutosha....
wakati anashuka jamaa wa kubrushi viatu pembeni akaanza kutoa sifa da wana mmemuona boss maisha ndio hayo watu wanakula gud time bana wee acha tuu....anawadca watu wa vijiweni walioketi pamoja...jamaa kaingia bank aliipotoka akamfata akamwambia we unaona me napata raha sana si?
Fundi viatu oo we mwenyewe huoni bana kwani mm sitamani kuwa na gari kama lko kuvaa suti nzuri nami nionekane nazimu ka wewe?
Jamaa amuuliza swali unalitaka gari hili? Basi vaa miwani hii japo kidogo tu! Akavua akampatia!
Jamaa kuvaa akaanza kupiga kelele....
Bosi likachukua miwa akaingia kwenye gari nduki!jamaa mikelele mpaka jamaa anapotetea ndio anaanza kuadisia eti lile sio gari bari nijeneza lenye matairi alafu watu wote alikua anatuona mafuvu matupu...
Nikamuacha wamemjalia hapo me nikawai hotuba ya raisi kutangaza baradha la katiba mpya...coz nlijua tuu nini kinaendelea.
majimoto,mbna huonekani?
Mhhi.magari yote yanakuwa cleared bandarini.ina maana wana mpaka viwanda nje.wabongo IMETOSHA tuanze kuishi na Akili zetu.tumekua na external drivers miaka mingi, we dont even sleep with our brain.
Ukweli mtupu mitaa gani ya s'wanga....Kwetu uchawi ndo heshima ya mtu,. Karibun swanga koti lina hang hewan
majimoto who are you?nimetokea kupenda vile unavyotudadavulia mbinu zakutoka gizani sasa napata wakati mgumu kukusoma....are a normal human being or are you saint sent frm above or are you an angel pls answer me!
majimoto who are you?nimetokea kupenda vile unavyotudadavulia mbinu zakutoka gizani sasa napata wakati mgumu kukusoma....are a normal human being or are you saint sent frm above or are you an angel pls answer me!
Juzi juzi town jamaa alitinga bank na gari moja hatari akiwa na suti matata miwani mikubwa na mkoba wa kuninginiza mkononi!kimtindo anaonesha ni mwenyefweza za kutosha....
wakati anashuka jamaa wa kubrushi viatu pembeni akaanza kutoa sifa da wana mmemuona boss maisha ndio hayo watu wanakula gud time bana wee acha tuu....anawadca watu wa vijiweni walioketi pamoja...jamaa kaingia bank aliipotoka akamfata akamwambia we unaona me napata raha sana si?
Fundi viatu oo we mwenyewe huoni bana kwani mm sitamani kuwa na gari kama lko kuvaa suti nzuri nami nionekane nazimu ka wewe?
Jamaa amuuliza swali unalitaka gari hili? Basi vaa miwani hii japo kidogo tu! Akavua akampatia!
Jamaa kuvaa akaanza kupiga kelele....
Bosi likachukua miwa akaingia kwenye gari nduki!jamaa mikelele mpaka jamaa anapotetea ndio anaanza kuadisia eti lile sio gari bari nijeneza lenye matairi alafu watu wote alikua anatuona mafuvu matupu...
Nikamuacha wamemjalia hapo me nikawai hotuba ya raisi kutangaza baradha la katiba mpya...coz nlijua tuu nini kinaendelea.