NYINGWA Member Nov 29, 2015 55 27 Dec 22, 2015 Thread starter #21 Marire said: nimeshawahi kumlipa mwalimu tution sh laki moja kwa mwezi kwa Mirza sita nyakahoja pr school Click to expand... Du laki mojs kwa mwezi
Marire said: nimeshawahi kumlipa mwalimu tution sh laki moja kwa mwezi kwa Mirza sita nyakahoja pr school Click to expand... Du laki mojs kwa mwezi
R Retina JF-Expert Member Mar 6, 2015 1,038 1,154 Dec 22, 2015 #22 Elimu bure bila kuboresha miundo mbinu ni hatari,wanafunz watajazana mpaka ubaon,ratio ya mwalimu ni kubwa sanA
Elimu bure bila kuboresha miundo mbinu ni hatari,wanafunz watajazana mpaka ubaon,ratio ya mwalimu ni kubwa sanA
N NCHAGWA JOSEPH JF-Expert Member Sep 15, 2014 802 226 Dec 22, 2015 #23 Naamini elimu itakuwa bora maana shule zitaimarishwa na walimu mori utapanda.maana madeni yote yatalipwa.
Naamini elimu itakuwa bora maana shule zitaimarishwa na walimu mori utapanda.maana madeni yote yatalipwa.