MPSZX PAULO
Member
- Mar 12, 2020
- 38
- 32
Habari zenu Wana JF,
Awali ya yote ningependa kumshukuru mwezi mungu Kwa kutujalia uzima na afya njema Kwa niaba ya wana JF wote
Andiko langu ni kutaka msaada Kwa waliotangulia katika tasnia ya biashara ya pembejeo za kilimo katika mambo yafuatayo
1.ni mtaji kiasi gani kiwango Cha chini kabisa kinaweza anzisha biashara ya pembejeo
2.ni ofisi gani napaswa kuanzia ili kupata kibali Cha kufanya biashara hiyo kihalali
3.gharama za kupata kibali ni kiasi gani na wapi napaswa kulipia
4.pia huwa nasikia kuna vyeti vya TPRI,TOSCI,TFRA utaratibu wa kutolewa upoje
Na,,
Changamoto za biashara ya pembejeo ni zipi?
Naomba kuwasilisha asanteni sana na karibuni wenye ujuzi na uzoefu tusaidiane
Awali ya yote ningependa kumshukuru mwezi mungu Kwa kutujalia uzima na afya njema Kwa niaba ya wana JF wote
Andiko langu ni kutaka msaada Kwa waliotangulia katika tasnia ya biashara ya pembejeo za kilimo katika mambo yafuatayo
1.ni mtaji kiasi gani kiwango Cha chini kabisa kinaweza anzisha biashara ya pembejeo
2.ni ofisi gani napaswa kuanzia ili kupata kibali Cha kufanya biashara hiyo kihalali
3.gharama za kupata kibali ni kiasi gani na wapi napaswa kulipia
4.pia huwa nasikia kuna vyeti vya TPRI,TOSCI,TFRA utaratibu wa kutolewa upoje
Na,,
Changamoto za biashara ya pembejeo ni zipi?
Naomba kuwasilisha asanteni sana na karibuni wenye ujuzi na uzoefu tusaidiane