Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
Wajameni
Nimetonywa kuwa biashara ya mchanga wa kwenye machimbo ya madini inalipa kiasi fulani na ni halali....nimeanza kujenga interest baada ya kupewa some hints lakini nahitaji kujuzwa zaidi juu ya ukweli ulivyo kabla ya kuchukua uamuzi zaidi.Naomba kama kuna anaye fahamu anisaidie please kwa kuwa nataka kuinvest time and money kwenye hili...
Nimetonywa kuwa biashara ya mchanga wa kwenye machimbo ya madini inalipa kiasi fulani na ni halali....nimeanza kujenga interest baada ya kupewa some hints lakini nahitaji kujuzwa zaidi juu ya ukweli ulivyo kabla ya kuchukua uamuzi zaidi.Naomba kama kuna anaye fahamu anisaidie please kwa kuwa nataka kuinvest time and money kwenye hili...