mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,894
- 106,185
hiyo ndyo nlikua nasubiria hhehehe ilimkutaga jamaa yangu akaliaa hapo Mikese.Mizani:
Muwe waangalifu na hii kitu. Ukisafirisha mbao hasa msimu huu wa mvua zikilowa zinaongezeka uzito na ukifika kwenye mizani la haula!. Lazima upunguze mzigo na kulipa faini!