Biashara ya kusafirisha matunda Ulaya

Nenda Wizara ya Kilimo kitengo ch Afya ya mimea, plant Quarantine and Phytosanitary services watakupa taratibu zote za kufuata kuanza biashara hii

Hii ni hatua ya mwisho, kwanza ni kupata soko then unapata clearance kutoka wizara husika
Kama mmoja wetu alivyosema kuna,shida ya kuridhisha soko, na maanisha ubora wa bidhaa ndo huwa shida, yawezekana sisi wabongo tumezoea biashara za chapuchapu bira kuzingatia ubora, kingine bakhresa anasafirisha final product nje,ya nchi ambayo nayo inashida zake ila inalipa zaidi kama ukiweza kupenyeza kwenye soko la nje hapa uganda kuna jamaa ana kampuni ya kahawa ilimuchukia zaidi ya miaka 5 kuweza kupata uhakika wa soko la kahawa yake ambayo anaexport direct various suoermarket in america and europe so he make quite good money and in return,he pay well farmers who in return take care of their coffee plantation to meet the required standard, je twaweza hili????
 
Naomba tugawane majukumu.naomba utafute taarifa juu ya taratibu za kuingiza matunda uingereza zinazohusu ubora,kodi na masoko hapo uingereza mimi nitafuatilia taratibu za hapa tanzania kusafirisha haya mazao Tanzania mpaka kufika huko UK.
Muda ni wiki mbili toka sasa.Je,utaweza?Mimi naweza.
Huu ni wakati wa kuchukua hatua na sio kulalamika.

Shida sio utaratibu ila ni SOKO, huko england utamuuzia nami mzigo ukishafika huko????? Hii ndo changamoto zaidi, ukishafanikiwa hili baasi vingine vyote will fall in place
 
Naomba kusahihishwa kama mimi ndio sielewi... Hivi Bakheresa ana-export any genuine food product or processed product into the developed world? Ninachojua ni kwamba yeye amefocus on the bottom of the pyramid ie the cost driven market. Ndio maana anatununulia processed coconut cream Thai anatugawia kiduchu kiduchu ambavyo size amnazo wao hawafungi ili japo mia tano ipate kazi siku ziende. Haya juoce zake haziendi popote nje ya Africa.

Najua Arusha kuna company zina-export mbogamboga ulaya. Most wanalima wenyewe na pia wanaingia mikataba na wakulima wadogowadogo. Juzi nilipita sehemu nikakuta mzigo wa reject baby beans... Aisee zinavuto kidogo niombe nichambue japo sado moja nipeleke home... ukweli viwango viko juu na kwa ubabaishaji wetu wabongo hilo nalo lonaleta changamoto. Ningetamani sana niwe proven wrong... Inalipa sema nani anaweza kukomaa hadi akidhi masharti?

Unga wa kg 5 wa bakhresa unapatikana kwenye maduka mengi tu London, mi nimeshaununua kwenye maduka mawili sehemu tofauti
 
Best mie sipo arusha ila nitakutafuta kwani nataka shamba la kununua maeneo ya huko au sehemu ingine
labda niseme pia naamini njia nzuri ya kujifunza viwango ni kwa kulima na hayo makampuni ambayo tayari yana soko la export. Hapo watakufundisha ubora wanaoutaka na jinsi ya wewe kuproduce/kulima at that level. In my opinion hapo risk ni ndogo wakati unajifunza full speed.

Ukiwa tayari kutafuta mashamba ya kukodi au ku-buy pia nishtue nikudalale (-;
 
Kumbe uko london naomba tufanye biashara nilete vitenge vyangu huko hebu angalia soko huko ilikoje
unga wa kg 5 wa bakhresa unapatikana kwenye maduka mengi tu london, mi nimeshaununua kwenye maduka mawili sehemu tofauti
 
Naomba kusahihishwa kama mimi ndio sielewi... Hivi Bakheresa ana-export any genuine food product or processed product into the developed world? Ninachojua ni kwamba yeye amefocus on the bottom of the pyramid ie the cost driven market. Ndio maana anatununulia processed coconut cream Thai anatugawia kiduchu kiduchu ambavyo size amnazo wao hawafungi ili japo mia tano ipate kazi siku ziende. Haya juoce zake haziendi popote nje ya Africa.

Najua Arusha kuna company zina-export mbogamboga ulaya. Most wanalima wenyewe na pia wanaingia mikataba na wakulima wadogowadogo. Juzi nilipita sehemu nikakuta mzigo wa reject baby beans... Aisee zinavuto kidogo niombe nichambue japo sado moja nipeleke home... ukweli viwango viko juu na kwa ubabaishaji wetu wabongo hilo nalo lonaleta changamoto. Ningetamani sana niwe proven wrong... Inalipa sema nani anaweza kukomaa hadi akidhi masharti?

Bakhressa hapeleka ulaya ila kuna watu wananua na kupeleka kama UK nakumbuka kuna wakati jamaa alileta unga uligomabaniwa kama mpira wa kona
 
Bakhressa hapeleka ulaya ila kuna watu wananua na kupeleka kama UK nakumbuka kuna wakati jamaa alileta unga uligomabaniwa kama mpira wa kona

We upo UK ya wapi unabisha kuhusu bakhresa? Off licence nyingi zina unga wake. ...kama upo London fanya kutembelea maeneo ya East London then uniambie ule unga kwenye maduka ya wahindi, na wapakstani huwa unaletwa na nani
 
Tatizo la Azam brand ni kukosa viwango vya kimataifa despite kuwa ISO9000 certified plants. Sioni kama kuuzia maduka ya wageni tu ni jambo la kujicunia saaaana. Mf: kahawa na green beans za Tz zilikuwa Tesco na Asda back in 2005. Kwangu hilo ni la kujivunia zaidi maana hayo maduka yanascrutinize source andquality consistently! Japo zilikuwakwenye store brand lakini supposedly zilikidhi viwango.

KBS (Kenya) walikataza imports za azam juices na ice creams kabisa kwa kutokidhi viwango vyao. Sijajua dor now... Lakini it goes to say ubora ukoje. Humu tu kuna thread kibao lulalamikia malta, azam cola, chapati na most recently maziwa ya Azam. Ukweli mpst of tgeir products zimetulenga kina sie... Nasema ulweli tu maana na mm natumia some of the azam products mana ndio the best kwa bongo yetu.

Turudi



We upo UK ya wapi unabisha kuhusu bakhresa? Off licence nyingi zina unga wake. ...kama upo London fanya kutembelea maeneo ya East London then uniambie ule unga kwenye maduka ya wahindi, na wapakstani huwa unaletwa na nani
 
What i know is that Azam has to type of product
1. One for local market
2. For Export market

So each product has different requirenments, if u look at export product za Azam its of high quality standard, and I stand to be corrected what you are sayong is wrong nd probaby you have a biase wiyh Azam product
 
What you said is probably true... Which is why also mentioned the fact quality of the products available at tge loxal market is nothingbto write home about. For one I love the Nova brand of azam ice cream. Perhaps only a very consious consumer can tell ni product ya azam. Isitoshe nimeiona supermarket moja tu A-town.

Sina bias yoyote... But what irks me ni vile mtu hawezi kupokea criticizm bila kum-attack / dismiss anayeitoa. I am one person and I am entitled to my opinion in the same way you are yours. So there!

What i know is that Azam has to type of product
1. One for local market
2. For Export market

So each product has different requirenments, if u look at export product za Azam its of high quality standard, and I stand to be corrected what you are sayong is wrong nd probaby you have a biase wiyh Azam product
 
With due respect MamaEEave done my simple research on azam product and I can say for the one for export market are of the highest stardand and u can find them in all comesa and some of Europe market so as u said every1 is intitled to his or her opinion BUT has to be BASES ON IMPIRICAL VERIFICATION, this is not about sentiment, I personaly I realy use Azam product But doea not mean I should slamber them anytime withought having facts ( research )
We are so good at this and someyime we even convise masses of what we say is true ONLY TO BE DISPROVWD BY TIME AND FACT


Lastly I stand to be collected
 
Miaka minne sasa tupeni zile report mlizotuahidi wadau. Uzi ulikua mzuri sana na itapendeza bila hiyana mkatupa feedback ya shughuli zenu.
 
Nimeshawah kujaribu iyo biznes dah its complicated kufanya individual labda uwe na mtaji mkubwa sana ki2 ambacho wengi ha2na,wenzetu kenya na uganda wanaweza coz wanapata sapoti kubwa kutoka serikali zao ili uweze kuuza uk ni lzm uwe na certified packing house then tz hapa logistics ni tabu sana km unasafirisha kwa air freight 2na depend kwa kenya airways ambao wanawapendelea wakenya wenzao na emirates,british,klm ni expensive haitokulipa vzuri then ha2na exposure kwa kweli coz pale unapohtaj msaada wa government officials respond haiwi nzuri sana coz they dnt i understand what kind of biznes it this so dispointing kwa kweli
We jamaa mbona una visingizio sana!! Yaani unatafuta kila aina ya visingizio kuonesha kwamba huwezi kufanya hyo biashara!. Jitshidi uwe na enterpreneur spirit kupambana hta km mazingira hayakupi favour
 
habari mkuu.

ni two years tangu uweke hiyo comment yako,vipi project yako ya maembe ina progress gani?natamani na mimi kufanya ya maembe na machungwa huko kisarawe...pia ukinipm ur mobile namba itakuwa poa zaidi tuangalie jinsi ya kushare bness info.

Thanx
Ukiona kimya ujue alishakimbia changamoto...kilimo si cha mchezo mchezo!
 
Mimi nilishaanza lakini kwa bidhaa zingine ambazo nyingi naleta Tanzania, ila naona hili linanigusa kwa nini wenzetu wameweza sisi tunashindwa.
Tatizo elimu nayo ina nafasi ,maana juzu mabalozi wanaotuwakilisha huko walikuja hapa sijaona hata 1 anahitaji kuongea na vijana kuelezea hizo fursa ,Hivyo acha tuendelee kubet mpaka kieleweke
 
Back
Top Bottom