mamakibunju
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,009
- 220
Habari zenu
Nauza Frem yenye biashara YA iNTERNET CAFE, PHOTOCOPY, PRINTING, SCANNING, MAXIMALIPO, WAKALA WA MPESA, TIGO PESA, PIA TUNAPIGISHA PASSPORT SIZE ZA EXPRESS ZA DAKIKA TANO, TUNAZO COMPUTER 9 ,INA CCTV CAMERA AMBAYO IKIFANYIWA CONFIGURATION UNAWEZA KUANGALIA KINACHOENDELEA HAPO KTK FREM UKIWA SEHEMU YOYOTE DUNIANI AS LONG UNA INTERNET CONNECTION KTK CM AU COMPUTER YENYE INTERNET.. Inauzwa Pa
FREM IKO SINZA MAKABURINI, MKATABA UNAISHA MWEZI WA SABA MWISHONI KAMA UNATAKA KUENDELEA ZAIDI YA HAPO NI JUU YAKO KUFANYA MKATABA NA MWENYE NYUMBA, KODI KWA MWEZI NI 300,000, SABABU YA KUUZA NINAHAMIA MKOANI.
Mwenye Kuhitaji ani PM
PS.Nauza Vifaa vyote pamoja na muda wa kodi uliobakia, au ukitaka vifaa vyote pamoja bila kuhitaJi frem pia unakaribishwa, Siuzi kitu kimoja kimoja...
Nauza Frem yenye biashara YA iNTERNET CAFE, PHOTOCOPY, PRINTING, SCANNING, MAXIMALIPO, WAKALA WA MPESA, TIGO PESA, PIA TUNAPIGISHA PASSPORT SIZE ZA EXPRESS ZA DAKIKA TANO, TUNAZO COMPUTER 9 ,INA CCTV CAMERA AMBAYO IKIFANYIWA CONFIGURATION UNAWEZA KUANGALIA KINACHOENDELEA HAPO KTK FREM UKIWA SEHEMU YOYOTE DUNIANI AS LONG UNA INTERNET CONNECTION KTK CM AU COMPUTER YENYE INTERNET.. Inauzwa Pa
FREM IKO SINZA MAKABURINI, MKATABA UNAISHA MWEZI WA SABA MWISHONI KAMA UNATAKA KUENDELEA ZAIDI YA HAPO NI JUU YAKO KUFANYA MKATABA NA MWENYE NYUMBA, KODI KWA MWEZI NI 300,000, SABABU YA KUUZA NINAHAMIA MKOANI.
Mwenye Kuhitaji ani PM
PS.Nauza Vifaa vyote pamoja na muda wa kodi uliobakia, au ukitaka vifaa vyote pamoja bila kuhitaJi frem pia unakaribishwa, Siuzi kitu kimoja kimoja...