Habarini ndugu zangu,
Nilikuwa nina wazo la kutaka kufungua hardware kwa mkoa wa Dodoma, sehemu ya mkonze,Bje kwa mtaji wa mill 3 unaweza nikafanikisha hii biashara maan nilikuw nataka nispecialize kwenye hivi vitu kimoja wapo ndio nianze nacho
(i)Cement, misumari, binding wire, kench wire
(ii)Na hii ya kuuza vifaa vya kwa ajiri ya finishing ambavyo n gypusum powder, crew, board, rangi(emulsion+plascon under coat), mikanda pmj na board.
Hii mill 3 n mtaji tu ndugu zangu ela yakutafutia frem ninayo nayo laki tatu
Nilikuwa nina wazo la kutaka kufungua hardware kwa mkoa wa Dodoma, sehemu ya mkonze,Bje kwa mtaji wa mill 3 unaweza nikafanikisha hii biashara maan nilikuw nataka nispecialize kwenye hivi vitu kimoja wapo ndio nianze nacho
(i)Cement, misumari, binding wire, kench wire
(ii)Na hii ya kuuza vifaa vya kwa ajiri ya finishing ambavyo n gypusum powder, crew, board, rangi(emulsion+plascon under coat), mikanda pmj na board.
Hii mill 3 n mtaji tu ndugu zangu ela yakutafutia frem ninayo nayo laki tatu