beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeiondoa timu ya Biashara United katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho kwa kutofika uwanjani kwenye mechi dhidi ya Ahly Tripoli (Libya)
CAF imesema sababu zilizoifanya Biashara United kushindwa kwenda Libya kucheza hatua ya pili ya raundi ya awali hazikutokana na dharura. Mechi hiyo ilikuwa ichezwe Oktoba 23 huko Benghazi
CAF imesema sababu zilizoifanya Biashara United kushindwa kwenda Libya kucheza hatua ya pili ya raundi ya awali hazikutokana na dharura. Mechi hiyo ilikuwa ichezwe Oktoba 23 huko Benghazi