KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wakuu najua humu ndani ya JF kuna watu kutoka Msoma mtanisaidia hasa wale watokao Tarime mpakani na kenya al-maarufu Wajaruo!
Nimepitia mikoa yote ya Tanzania nikafanya karesearch kangu nikaja kugundua kuwa aslimia 97% ya watengeneza mihuri (Rubber Stamp)wote ni WAJARUO!!Swali je Nikwanini??au Mihuri imeanzia kwao??Nijuzeni weledi!:wave:
Nimepitia mikoa yote ya Tanzania nikafanya karesearch kangu nikaja kugundua kuwa aslimia 97% ya watengeneza mihuri (Rubber Stamp)wote ni WAJARUO!!Swali je Nikwanini??au Mihuri imeanzia kwao??Nijuzeni weledi!:wave: