Bhoke na Lotus waomba kura zako Mtanzania.

bibikuku

JF-Expert Member
Feb 16, 2011
832
495
hahahahahhah kumbe watu mna wivueeee

yaani huyo bhoke kanichefua sana...kashindiliwa kitu yaani kajisahau anasikilizia kabisa bana...tushapata mashemeji warudi tu home tukale mishikaki kwa mama sabina kule leaders huku tunalicheza twanga ...wameniudhi ka nini
 
jaman kwa nin wasipigiwe kura?mfumo dume utaish lin ktk jamii ya waafrka?dada yetu alfanya mwenyewe?mbona ernest halaumiwi?richard alikuwa anafanya nin na tatiana?tuache ujinga wa kuona mwanamke anachofanya n big isu,let us sapot them bse they not fake and that is da way they are.
 
yaani huyo bhoke kanichefua sana...kashindiliwa kitu yaani kajisahau anasikilizia kabisa bana...tushapata mashemeji warudi tu home tukale mishikaki kwa mama sabina kule leaders huku tunalicheza twanga ...wameniudhi ka nini
hahahhahha mnawaonea,au kwa kuwa wanawake mbona Richard mlikuwa mnashangilia na mapicha mnabandika humu au mmesahau,tuendelee kushangilia jamani..
 
jaman kwa nin wasipigiwe kura?mfumo dume utaish lin ktk jamii ya waafrka?dada yetu alfanya mwenyewe?mbona ernest halaumiwi?richard alikuwa anafanya nin na tatiana?tuache ujinga wa kuona mwanamke anachofanya n big isu,let us sapot them bse they not fake and that is da way they are.

Nashukuru sana kwa analysis yako nzuri....mi nashangaa sana, watu wao wakifanya vitandani kwao au guest ni sawa....Bhoke au Lotus waki kiss tu kwa screen iwe tabu....ni nani aliyesema kuwa ukichaguliwa kuwa mwakilishi wa Big Brother unakuwa huna mapenzi au hamu ya kukiss na sex au unakuwa malaika usiye na mapungufu?....Let them be,let them live their life.....kipindi cha Richard ilikuwa bring Tati home,kipindi cha Mwisho,bring Merly home....leo kisa mabinti ishakuwa tabu,nyie si mna wenu?waacheni nao wawe na kina Ernest na Danny!!
 
Hivi jamani mtukumbushe hivi richard nae alishea tatiana na wengine kama hawa dada zetu walivyoshea? Kizuri wala na nduguyo etiiiii, lazima tuwapigie kura ili mfumo dume huu wa ERNEST uendelee,chicks 2 , si mchezo mi namuonea wivu, wairudi nami nitajaribu nione kama watanikubalia, teh teh teh, eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eh
jaman kwa nin wasipigiwe kura?mfumo dume utaish lin ktk jamii ya waafrka?dada yetu alfanya mwenyewe?mbona ernest halaumiwi?richard alikuwa anafanya nin na tatiana?tuache ujinga wa kuona mwanamke anachofanya n big isu,let us sapot them bse they not fake and that is da way they are.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom