Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,249
Mmmmhh! mimi chichemi kitu!.kijana upo....mambo vp?
Hakuna kitu kama kummiliki mtu katika kizazi hiki cha dot.comUnaishia kula kwa macho tu,mwingine anamiliki ha ha...
Kwa hiyo hapo vichuchu ndio vinawa drive crazy duh:confused2:
Ah, FirstLady na wewe bana~kuna mtu hapa JF alishawahi Sema kwamba huwa anachanganyikiwa akimuona mdada anayetembea Kama kajinyea vile. Sasa chuchu Kama hiyo kwa Nini mtu asipagawe!.Kwa hiyo hapo vichuchu ndio vinawa drive crazy duh:confused2:
He he he Buswelu bana, angalia usije kupofuka yakhe!.Dah Kuna sehemu kama naona sehemu zake za kwenye kikaptula zinaonekana mzee unaweza ku zoom pale labda..!!!
Hakuna kitu kama kummiliki mtu katika kizazi hiki cha dot.com