Between your legs - PART TWO

Hivi unaandika ukiwa unazifahamu tabia za Wajeruman au unaandika tu? Hata walipoanza mambo ya Computer, Umeme, usafiri wa anga, majini na hata nchi kavu, kuna wengine waliita ni kazi ya shetani. Hata kutumia Internet tulisikia sana. TV nazo zililaniwa sana na kuna nchi kama Somalia hadi leo wanalani na wanalani hata Sambusa kuwa zinawakumbusha utatu mtakatifu (ila bunduki za Mzungu hazina shida hiyo).

Mkuu, hilo ni kama JIWE tu ila tofauti yake ni MAN MADE.

bismark%20Rock-%20mwanza.JPG
Bismark Stone, Mwanza.



Sijawahi kusikia Tanzania watu Wanachukia TV ama Internet, labda itakuwa ni kipindi ambacho sikuzaliwa, kwa Somalia sishangai wakikataza vitu hivyo sababu wao wamejiundia tamaduni na sheria zao ambazo ni tofauti kabisa na mataifa mengine yenye wafuasi wengi wa kikristo, sababu mfano katika nyingi wa nchi za kiarabu kwao kitu chochote kutoka Magharibi ni ni kibaya ama haramu. Halafu huwezi kulinganisha Jiwe la Bismack ambalo ni kazi ya mikono ya MUNGU ukalinganisha na hilo jimama ambalo watu walikaa wakakubaliana kwamba tuiweke sanamu hii ndani ya bahari. lakini hebu kaa ujiulize kwanini waliamua kutengeneza sanamu kubwa namna hiyo kwa nini wasingetengeneza ndogo?. sanamu kama hilo ukiambiwa gharama yake unaweza kukimbia lakini kwanini watu au mtu awekeze pesa yake kwa kitu kisichokuwa na maana? Baada ya kuiangalia pia niligundua kwamba sanamu hiyo si ya kiume bali ni ya kike. Lengo lao ni nini?

kissing.jpg
DSC020993.jpg
 
Ni mapambo tu mjini na kuvutia watalii. Ni sawa tu na wewe ukiweka mapambo nyumbani kwako ila wenzetu huwawanajifikia kwa msemo MIMI na SISI wakati sisi tuna MIMI tu. Huko miji inashindana vibaya sana kuwa kivutio kwa watalii na hata watu kutoka miji mingine.

Kwanza siyo kubwa kihivyo, ni mita nne tu na ushee. Kwani hizi sanamu zinafanya jambo lolote la maana duniani? Na ukilinganisha na hiyo, mbona ni cha mtoto?

jesus-christ-largest-statue-0410.jpg

11_7_10_+World's+Largest+Jesus+Poland.jpg
Jesus_In_Poland.jpg


40572-004-620C22D2.jpg
030937.jpg
 
Kweli Mwanamke ni Mwanamke tu. Keshaona kuwa huyo si NYOKA ila Mkonga wa tembo :)

Thanks Preta kwa masahihisho. Let me say " Masahihisho - bweteen her Legs."
Sikonge bana......that is mkonga wa tembo.....between his legs
 
Kweli Mwanamke ni Mwanamke tu. Keshaona kuwa huyo si NYOKA ila Mkonga wa tembo :)

Thanks Preta kwa masahihisho. Let me say " Masahihisho - bweteen her Legs."

yaaah.....huwa tuko makini sana na vitu ambavyo vipo......between your legs
 
A boat with two people - Between your legs.

t1larg.bather.afp.gi.jpg
A massive sculpture of a bathing woman will spend 10 days in a Hamburg, Germany, lake.

The real name of the massive woman in a Hamburg, Germany, lake is actually "Die Badende" ("The Bather"), and she's an ad for British beauty brand Soap & Glory.
"We launched Soap & Glory in Germany last year, and we've been looking for a way to say, 'Thank you!' to everyone for embracing our products, and making us a real success there. At Soap & Glory, we consider it our calling to bring more beauty to the world, and have fun doing it – 'Die Badende' does exactly that," the brand's founder, Marcia Kilgore, said in a news release.
"Die Badende" is the work of art creator Oliver Voss. It's almost 13 feet high, 67 feet long and weighs two tons.
The sculpture is made from a steel cage covered with Styrofoam almost a foot thick, which is then covered by a layer of special filler sealed with a polyester resin.
It will spend 10 days in Hamburg's Inner Alster Lake.
Apparently, "Die Badende" is as modest as "she" is massive. Soap & Glory promises a crane will be standing by with a supersize towel when "Die Badende" is ready to come out of the water.

From: Massive bather makes splash in German lake – This Just In - CNN.com Blogs

Mji wangu pendwa . asante mkuu.
 
Back
Top Bottom