donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Guys,letc be honest on this one. We all know dat mwamba ngoma ngoz huvutia kwake but lets be honest n speak the truth. Usiseme just kutetea jinsia yako,naomba 2wekane wazi kuhusu hili swala kwamba kati ya wanaume na wanawake ni wapi wanaongoza kutoka nje ya mahusiano yao? Iwe ni ndoa au courtship. Kila mtu ni wazi ana mtazamo wake kwaio ningependa 2jadili,na vilevile ni sababu zipi zinamfanya m2 kucheat?