Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
unapozungumzia mchezo wa Soka basi kwa namna moja ama nyengine hutaacha kuitaja klabu ya soka ya AC Milan kuwa ndio timu ama Baba wa soka ulimwenguni.
Milan ni timu ya kila Siku, utawala wa Milan si kama tawala za timu nyingine ambazo humaliza hata Mwongo mmoja bila kuwa na kombe lolote la kimataifa.
Unapoizungumzia Milan AC basi unatakiwa kujuwa kuwa kwa vigogo wa Soka pale ulaya ni Milan ndio inayoongoza kwa Makombe ya kimataifa.
Milan ni timu kubwa kila siku yenye mashabiki Duniani kote, kasoro Dodoma tu ambako kuna jimbo limejaza mapunguani ktk kila kaya na jimbo hilo ni jimbo la Mtera.
Nashawishika kuitaja Milan kuwa ni timu boora ktk historia ya Soka si tu kwamba timu hii imechukua makombe mengi ya kimataifa, la hasha ni kuwa timu hii iliwahi kuunda vikosi viwili ambavyo mpk Dunia itakapofika tamati hakutakuja kuwa na timu kali na sumu kama Milan hii ya vipindi tofauti...
Milan ya kwanza ilikuwa ni ya msimu wa 1988-1989 ambayo iliundwa na:......
1. Gali
2. Tassotti
3. Maldini
4. Costacurta
5. Baressi [C]
6. Colombo
7. Donadoni
8. Rijkhaard
9. Van Barsten
10. Gullit
11. Carlo Ancelotti
Milan hii ilibeba European Cup kwa sasa inafahamika kama UEFA champions League kwa kuichapa timu iliyokuwa ngumu kwa kipindi hicho hapa naizungumzia Real Madrid kwa goli 5-0 ktk mchezo wa nusu fainali ambapo mpk mwisho wa mchezo Madrid walikuwa wameshakubali kuwa walizidiwa kila idara na hapakuwa na harufu ya Milan kubebwa na refa wala hapakuwa na manung'uniko yoyote toka kwa wachezaji wa Madrid.
Kama hiyo haitoshi Milan AC walikwenda beba ndoo ya Ulaya baada ya kuikung'uta klabu ya Steau Bacarest kwa jumla ya Magoli 4-0 ambapo napo pia hapakuwa na harufu ya mchezaji wa Milan kujirusha ama kupata ahueni bin upendeleo toka kwa Refa...
Hii ndio AC Milan.
Milan ni timu ya kila Siku, utawala wa Milan si kama tawala za timu nyingine ambazo humaliza hata Mwongo mmoja bila kuwa na kombe lolote la kimataifa.
Unapoizungumzia Milan AC basi unatakiwa kujuwa kuwa kwa vigogo wa Soka pale ulaya ni Milan ndio inayoongoza kwa Makombe ya kimataifa.
Milan ni timu kubwa kila siku yenye mashabiki Duniani kote, kasoro Dodoma tu ambako kuna jimbo limejaza mapunguani ktk kila kaya na jimbo hilo ni jimbo la Mtera.
Nashawishika kuitaja Milan kuwa ni timu boora ktk historia ya Soka si tu kwamba timu hii imechukua makombe mengi ya kimataifa, la hasha ni kuwa timu hii iliwahi kuunda vikosi viwili ambavyo mpk Dunia itakapofika tamati hakutakuja kuwa na timu kali na sumu kama Milan hii ya vipindi tofauti...
Milan ya kwanza ilikuwa ni ya msimu wa 1988-1989 ambayo iliundwa na:......
1. Gali
2. Tassotti
3. Maldini
4. Costacurta
5. Baressi [C]
6. Colombo
7. Donadoni
8. Rijkhaard
9. Van Barsten
10. Gullit
11. Carlo Ancelotti
Milan hii ilibeba European Cup kwa sasa inafahamika kama UEFA champions League kwa kuichapa timu iliyokuwa ngumu kwa kipindi hicho hapa naizungumzia Real Madrid kwa goli 5-0 ktk mchezo wa nusu fainali ambapo mpk mwisho wa mchezo Madrid walikuwa wameshakubali kuwa walizidiwa kila idara na hapakuwa na harufu ya Milan kubebwa na refa wala hapakuwa na manung'uniko yoyote toka kwa wachezaji wa Madrid.
Kama hiyo haitoshi Milan AC walikwenda beba ndoo ya Ulaya baada ya kuikung'uta klabu ya Steau Bacarest kwa jumla ya Magoli 4-0 ambapo napo pia hapakuwa na harufu ya mchezaji wa Milan kujirusha ama kupata ahueni bin upendeleo toka kwa Refa...
Hii ndio AC Milan.