Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,505
- 113,620
RIP BCMKwa hiyo kimsingi, kwa kutumia rhetoric questions, unakubali kwamba hao wote hawakuwa wamefanya kitu. Na unataka kutumia hili kama kigezo kwamba tukubali mtu mwingine ambaye hana record ya kufanya chochote cha maana achaguliwe kuwa rais? Two wrongs do not make a right, kama watanzania walikosea kuchagua watu wasio na rekodi yoyote hapo mwanzo, haimaanishi kwamba waendelee kufanya hivyo. Einstein alisema kichaa ni kuendelea kufanya kitu kile kile halafu kutegemea matokeo tofauti, usitake kuendekeza kichaa unless umeridhika na umasikini wetu.
Kwa hiyo you would rather have a handsome and charming president who is an airhead than a balding ugly policy wonk who can deliver sio?
Kwa hiyo huyu Membe anayepiga kelele za kuoteshwa ndiye debe tupu sio? Uliona uchaguzi wa 1995 walivyochuana watu halafu Mkapa akaingia dakika ya mwisho na kuchukua nomination kiulaini? Basi na 2015 itakuwa hivyo hivyo, hawa kina Membe wanaanza lele tu, wazee wa kazi hata huwasikii mapema hivi.
Mkimpata Membe, mkimpata Lowassa, imekula kwenu. Mifano yako inamuonyesha Membe kama huyo mtu anayesema "mshikeni ntamuumiza" (refer "watakimbilia Kenya") kwa hiyo unachoona kama confidence on the part of Membe, wachambuzi wa mambo ya siasa tunaona ni gimmick tu, complete with kuoteshwa which is rather old, actually dating back to the Pharaohs, The Chinese rulers and the Babylonians, even if we are talking gimmicks, he needs a newer gimmick.
Kwa sababu hatuchagui Miss Tanzania. Hata huyo Miss Tanzania watu huangalia substance pia, si confidence tu.
Na mtu mwenye confidence hasubiri kuoteshwa bwana.
P