Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
jk hamtaki membe a.k.a joka la mdimu jk ameshasoma mchezo na kuona membe habebeki...pia mkapa alitaka kumuweka sumaye akashndwa kwa akili ya mtanzania yeyote mwenye akili timamu kumsmamisha membe ni kaburi kwa ccm rais anajulkana kuwa ni lowasa na jk analijua ilo ila anacheza na muda ushaidi ni chaguzi za jumuiya ndani ya chama