Benki za Tanzania zagoma kuweka Vyoo kwa Wateja

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,412
Tanzania tuna mabenki mengi, ya Serikali na watu binafisi. Kwa walimu wengi ambao ni wateja wa NMB mtu anaka kwenye foleni masaa 2 mpaka 3 na hakuna huduma ya vyoo, inasemekana hawaweki vyoo kwasababu mteja wa kawaida huwa na fedha kidogo na hivyo hachangii chochote.

Naomba sasa Naibu Waziri Mkuu Tusaidie kuwaomba Hawa mameneja WAJENGE VYOO VYA WATEJA wa mabenki lakini pia waache tabia ya kufunga kamba kwenye kalamu pale counter: Haiwezekani napeleka milioni 20 na ninakuachia kwa kunipa kikaratasi tu ila wewe huniamini kwa kalamu ya shilingi mia tu.

Bank of Tanzania , ambaye ndiye msimamizi mkuu wa mabenki tunaomba kabla ya leseni za mabenki kutolewa, ukaguzi ufanyike na kitu cha kwanza iwe Choo cha wateja.
 
For security purposes

Mtu aweza jidai aomba udhuru kwenda toilet,kumbe ni mhalifu na ana genge lake ,wanataka kuvamia kupitia toilet

Na sisi ulimwengu wa tatu bado hatujawa advanced kukabiliana na attack za kihivyo,kama nchi za ulimwengu wa kwanza

Walinzi wenyewe bank ni Hawa wa sumajkt
 
Tanzania tuna mabenki mengi, ya Serikali na watu binafisi. Kwa walimu wengi ambao ni wateja wa NMB mtu anaka kwenye foleni masaa 2 mpaka 3 na hakuna huduma ya vyoo, inasemekana hawaweki vyoo kwasababu mteja wa kawaida huwa na fedha kidogo na hivyo hachangii chochote.

Naomba sasa Naibu Waziri Mkuu Tusaidie kuwaomba Hawa mameneja WAJENGE VYOO VYA WATEJA wa mabenki lakini pia waache tabia ya kufunga kamba kwenye kalamu pale counter: Haiwezekani napeleka milioni 20 na ninakuachia kwa kunipa kikaratasi tu ila wewe huniamini kwa kalamu ya shilingi mia tu.

Asa na ww peni ya 200 unalilia ya nn akati una milion 20 huoni ww pia unatatizo?
 
Tanzania tuna mabenki mengi, ya Serikali na watu binafisi. Kwa walimu wengi ambao ni wateja wa NMB mtu anaka kwenye foleni masaa 2 mpaka 3 na hakuna huduma ya vyoo, inasemekana hawaweki vyoo kwasababu mteja wa kawaida huwa na fedha kidogo na hivyo hachangii chochote.

Naomba sasa Naibu Waziri Mkuu Tusaidie kuwaomba Hawa mameneja WAJENGE VYOO VYA WATEJA wa mabenki lakini pia waache tabia ya kufunga kamba kwenye kalamu pale counter: Haiwezekani napeleka milioni 20 na ninakuachia kwa kunipa kikaratasi tu ila wewe huniamini kwa kalamu ya shilingi mia tu.

Afu bank unaenda kueka ela sio mimavi yako
 
Tanzania tuna mabenki mengi, ya Serikali na watu binafisi. Kwa walimu wengi ambao ni wateja wa NMB mtu anaka kwenye foleni masaa 2 mpaka 3 na hakuna huduma ya vyoo, inasemekana hawaweki vyoo kwasababu mteja wa kawaida huwa na fedha kidogo na hivyo hachangii chochote.

Naomba sasa Naibu Waziri Mkuu Tusaidie kuwaomba Hawa mameneja WAJENGE VYOO VYA WATEJA wa mabenki lakini pia waache tabia ya kufunga kamba kwenye kalamu pale counter: Haiwezekani napeleka milioni 20 na ninakuachia kwa kunipa kikaratasi tu ila wewe huniamini kwa kalamu ya shilingi mia tu.
Tatizo sio vyoo tatizo ni aina ya vyoo unakuta tale mavyoo ya kukaa kila mtu aweke matako yake hapo duh..! mimi huwa napandaga juu nachuchumaa hapo juu ndo nakunya

Tatizo kingine ni kutawaza kwa mikono na maji wengine hatujazoea kabisa kushika mavi yaani ni heri nichambie matambara, majani ya miti, au kigogo au kwenye kona ya ukuta wa nyumba
 
For security purposes
Mtu aweza jidai aomba udhuru kwenda toilet,kumbe ni mhalifu na ana genge lake ,wanataka kuvamia kupitia toilet
Na sisi ulimwengu wa tatu bado hatujawa advanced kukabiliana na attack za kihivyo,kama nchi za ulimwengu wa kwanza
Walinzi wenyewe bank ni Hawa wa sumajkt
Basi waweke tangazo kwamba kabla ya kwenda
Wewe ni mpumbavu
Muweke vyoo vya wateja.
 
Back
Top Bottom