Maroun MU
Member
- Jul 21, 2012
- 97
- 4
Mhmhhmmh hii Benki ya NMB ina kero na utendaji wake wa kaiz ni mbovu yn madirisha yapo ma5 na madirisha yanao fanya kazi ni mawili tuu na hiyo foleni yake ni mzunguko wa mistari mitano na hapo hao wawili m1 wapo ameenda kunywa chai...hii ndio faida ya NMB ni tawi la Kariakoo mtaa wa livingstone..na hapo hapo kn tawi mtaa wa Congo near Big Bon tokea mwaka jana hadi leo halijafunguliwa