Benki ya Dunia imefichua ukweli kuwa lindi la umasikini linaongezeka kwa watanzania!

Hal
Tofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza ukweli kuwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi, hususani wale wa hali ya chini, inazidi kudorora, jinsi miaka inavyokwenda mbele.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Benki ya Dunia, inaeleza kuwa watanzania waliokuwa wakiishi katika hali ya umasikini sana, chini ya dollar moja ya kimarekani, imeongezeka kutoka watanzania milioni 14 mwaka 2018 hadi kufikia zaidi ya watanzania milioni 17 mwishoni maa mwaka 2023.

Taarifa hiyo inapingana vikali na taarifa za (kupikwa) zinazotolewa kila mwaka na serikali hii ya CCM, kuwa hali ya maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka!

Wakati watanzania kila mwaka wanaendelea kulalamika kuhusu gharama za maisha kupanda, serikali ya CCM, imeendelea kutupiga propaganda kuwa hali za maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka.

Katika hali halisi, ingawa benki ya Dunia, imekiri kuwa kuna ongezeko la ukuaji wa uchumi nchini wa asilimia kama 5 hivi, lakini imetahadharisha kuwa ongezeko hilo linawafaidisha watanzania wachache ambao ni matajiri.

Kwa hiyo Benki ya Dunia imetutegulia kitendawili cha muda mrefu kilichokuwa kinawasunbua watanzania walio wengi kuwa maisha ya watanzania yanazidi kudorora jinsi siku zunavyozidi kusonga mbele.
Halafu mjinga mmoja anasema uchumi umekuwa kwa kuangalia namba E kwenye magari barabarani,mara tukaishi Burundi. Ee Mungu ikupendeze kwa mtu huyu umuite kwako kwa ajili ya hukumu ya haki! Utuondolee Ee BWANA twakusihi kwa maana amejaa kiburi na dharau kwa watu wako. Amen.
 
Hal

Halafu mjinga mmoja anasema uchumi umekuwa kwa kuangalia namba E kwenye magari barabarani,mara tukaishi Burundi. Ee Mungu ikupendeze kwa mtu huyu umuite kwako kwa ajili ya hukumu ya haki! Utuondolee Ee BWANA twakusihi kwa maana amejaa kiburi na dharau kwa watu wako. Amen.
Awamu hii WB imewaumbua wazi wazi
 
Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi

Nakulilia Tanzania
Halafu anasimama mpuuzi mmoja anasema namba E zimejaa barabarani, mara harusi zinajaa na kadhalika...

Ni wazi gharika haipo mbali
 
Tofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza ukweli kuwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi, hususani wale wa hali ya chini, inazidi kudorora, jinsi miaka inavyokwenda mbele.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Benki ya Dunia, inaeleza kuwa watanzania waliokuwa wakiishi katika hali ya umasikini sana, chini ya dollar moja ya kimarekani, imeongezeka kutoka watanzania milioni 14 mwaka 2018 hadi kufikia zaidi ya watanzania milioni 17 mwishoni maa mwaka 2023.

Taarifa hiyo inapingana vikali na taarifa za (kupikwa) zinazotolewa kila mwaka na serikali hii ya CCM, kuwa hali ya maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka!

Wakati watanzania kila mwaka wanaendelea kulalamika kuhusu gharama za maisha kupanda, serikali ya CCM, imeendelea kutupiga propaganda kuwa hali za maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka.

Katika hali halisi, ingawa benki ya Dunia, imekiri kuwa kuna ongezeko la ukuaji wa uchumi nchini wa asilimia kama 5 hivi, lakini imetahadharisha kuwa ongezeko hilo linawafaidisha watanzania wachache ambao ni matajiri.

Kwa hiyo Benki ya Dunia imetutegulia kitendawili cha muda mrefu kilichokuwa kinawasunbua watanzania walio wengi kuwa maisha ya watanzania yanazidi kudorora jinsi siku zunavyozidi kusonga mbele.
upotoshaji ni hatua mbaya sana ya kukosa hoja,
lakini zaidi sana imani potofu kwa watu wa nje, eti wao ndio wanatathmini, kipima na kutuambia sisi ni maskini na jamaa mvivu anaamini na kuchukua jambo hilo eti ndio hoja :D

Tanzania hatujafukia na wala hatutafukia liwango cha umaskini kama ambavyo kimepotoshwa na wapotoshaji wanao sapotiana apo juu...

that is useles and none sense...
 
Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi

Nakulilia Tanzania
Ila Dar kiboko, nyumba nyingine wanapika chai tu, vitafunwa kila mtu atajijua!
 
Hata bila hiyo taarifa, halisi halisi ya maisha kwa watanzania wengi inaendelea kuwa ngumu kila kukicha.
Hivi ugali ni chakula cha maskini???? Hivi ni nchi gani nyingine inatumia ugali ukitoa Tz??
 
Msosi ushakuwa anasa kwenye nchi hii

  • ma LC300 kila kona ya nchi kwa kila kiongozi kuanzia level ya idara serikalini
  • Discovery ni kwa wale wote walioibukia kipindi cha mama na Forester, CRV, Volvo TC, Highlander, Vanguard, Lexus, Harrier kalio la ngedere, ML, BMW X1, 3 na 5 n.k ikiwa ndo watumishi wenye mianya yao na wafanyabiashara wa kawaida!

- Dualis, Rumion, IST, n.k imekuwa ni kwa wale waliokosa namna ndani ya kizimkazi

Sasa hilo kundi hapo juu, halizidi watu milioni moja kwa Dar es salaam na milioni 5 kwa nchi nzima.

Watu zaidi ya milioni 50 wa hili pande la ardhi, ndio hao wanasubiri ruzuku na makombo yanayobakia mezani baada ya hao wezi kusaza.

Nimesikia kiongozi wao kasema, mihela yote inaelekezwa kuhonga wapiga kura kwenye hizi siku 731.5 sijazo.

Ukiingia kwenye data zao, inflation haijawahi kufika 5, ukiangalia bidhaa moja kubwa inayoadhiri kila kitu, ime-inflate kwa takribani mara mbili na kusababisha kila kitu kitikisike, bado wasomi wanasema inflation ni 3.5%....nadhani mwenzao aliposema kule wanakopewa hayo maarifa ni jalalani, alikuwa 99.99% sawia.
Tunachokiona kwenye maandishi yao kuhusu taarifa ya hali ya uchumi wa nchi, ni tofauti sana na Hali halisi ya uchumi wa wananchi, hususani wale wa kawaida
 
Tofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza ukweli kuwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi, hususani wale wa hali ya chini, inazidi kudorora, jinsi miaka inavyokwenda mbele.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Benki ya Dunia, inaeleza kuwa watanzania waliokuwa wakiishi katika hali ya umasikini sana, chini ya dollar moja ya kimarekani, imeongezeka kutoka watanzania milioni 14 mwaka 2018 hadi kufikia zaidi ya watanzania milioni 17 mwishoni maa mwaka 2023.

Taarifa hiyo inapingana vikali na taarifa za (kupikwa) zinazotolewa kila mwaka na serikali hii ya CCM, kuwa hali ya maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka!

Wakati watanzania kila mwaka wanaendelea kulalamika kuhusu gharama za maisha kupanda, serikali ya CCM, imeendelea kutupiga propaganda kuwa hali za maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka.

Katika hali halisi, ingawa benki ya Dunia, imekiri kuwa kuna ongezeko la ukuaji wa uchumi nchini wa asilimia kama 5 hivi, lakini imetahadharisha kuwa ongezeko hilo linawafaidisha watanzania wachache ambao ni matajiri.

Kwa hiyo Benki ya Dunia imetutegulia kitendawili cha muda mrefu kilichokuwa kinawasunbua watanzania walio wengi kuwa maisha ya watanzania yanazidi kudorora jinsi siku zunavyozidi kusonga mbele.
Mbona Benki ya Dunia ikitoa taarifa za Uchumi kukua Huwa mnapinga? Ila ilisema umaskini inaongezeka basi mnafurahi si ndio? 🤪🤪

Pili hakuna hakuna mahala WB imesema umaskini unaongezeka ila hizi ni stori zako za kutunga.

WB imesema madhara ya uviko 19 yaliwasukuma watu mil.3 kuingia kwenye umaskini Sasa how comes uviko ulisababishwa na Serikali?

Mwisho WB Imetoa hadhari kwenye mambo 3 Ili kuharakisha ustawi wa watu.
1.Kupunguza Kasi ya kuzaana
2.Kuongeza Kasi ya uwekezaji hasa kwenye sekta ambazo zinahusisha watu wengi
3.Imeipongeza Serikali Kwa sera nzuri za Uchumi.

My Take
Maelfu Kwa maelfu ya majumba yanayojengwa Kila mwaka mjini nanVijijini ni ya matajiri wachache? Punguza upumbavu kichwani mwako kisa chuki.
 
Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi

Nakulilia Tanzania
Picha Tafadhali mliyopiga wakila ugali mfupi saa 10.

Pili utueleze na jitihada ambazo Machado mumefanya Ili hao Wana Temeke wale Milo 2 kama sio 3 Kwa siku 😁😁
 
Hayo ndiyo maisha ya watanzania walio wengi.

Watanzania wachache kina Mwigiluuu, ndiyo wanaoogelea kwenye utajiri wa kutisha!😁

Kuna methali ya Kiswahili inayosema, aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Tzn hii ukishindwa kula Milo walau 2 si Bora ufe Sasa maana msosi ni buku jero Hadi buku 2
 
Back
Top Bottom