Benki kuu: Nchi ina fedha za kigeni za kutosha hata kama shughuli za uzalishaji zitasimama kwa miezi sita!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,401
144,802
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
 
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
Kwa hiyo sisi tufanyaje?
 
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
hua napenda jinsi serikali inavyo tumia 'miezi 6' kwenye kuhakikishia jambo wananchi

habari njema!
 
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
Pambavu zake. Huu msemo umekaririwa toka enzi zilipendwa za Magufuli
 
Mungu aendelee kumuhifadhi JPM mahari pema peponi katuachia hela ya kutosha Bank kwa juhudu zake za kukusanya kodi...ngoja tuone huyu anaeona kodi ni jambo la kubembeleza wakati kodi si swala la hiyari ...ni jambo la lazima ndo maana hata Mungu hakuingilia kabisa maswala ya kodi kwani Yesu alishindwa kusema msilipe kodi au mkajadiliane na Kaisari kulipa kodi

Japo wanasema tutumie akili kukusanya kodi lakini hawasemi hyo akili ya kukusanya inafanyaje kazi? Pia ni akili gani? TRA au taasisi yeyote ya kukusanya mapato Duniani inapimwa kwa makusanyo si kitu kingine

Leo hata ukisema jamani tumepunguza VAT kutoka 18% mpk 8% bado watu watakwepa kodi tu. Binadamu wengi hawapendi kulipa kitu ambacho hakishiki au kukihisi moja kwa moja hyo ndo nature ya mwanadamu yeyote..

Mungu mwenyewe ambae tunaamini wote ndio anatoa riziki amesema umpe 10% tu ya mapato yako na bado hamtaki kutoa ikiwa Mungu hana First team au Task force yeyote , hamfati mtu kudai lakini hamtaki kutoa... ndo mkubali kulipa kodi TRA?
 
Mungu aendelee kumuhifadhi JPM mahari pema peponi katuachia hela ya kutosha Bank kwa juhudu zake za kukusanya kodi...ngoja tuone huyu anaeona kodi ni jambo la kubembeleza wakati kodi si swala la hiyari ...ni jambo la lazima ndo maana hata Mungu hakuingilia kabisa maswala ya kodi kwani Yesu alishindwa kusema msilipe kodi au mkajadiliane na kaisari kulipa kodi
Ni bora ukusanye kwa kubembeleza. Hata matumizi ya hizo kodi yanaishia tu kuumiza wananchi.

Kuwe na ukusanyaji mdogo na matumizi yasimamiwe vzr ndio unaweza kutumia nguvu kukusanya hela nyingi.
 
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
Mafuta ya kula tu yanatuyumbisha..!
 
Ni bora ukusanye kwa kubembeleza. Hata matumizi ya hizo kodi yanaishia tu kuumiza wananchi.

Kuwe na ukusanyaji mdogo na matumizi yasimamiwe vzr ndio unaweza kutumia nguvu kukusanya hela nyingi.
Ndugu kwa nchi za Kiafrica ukifanya hvyo jua huwezi kulipa mishahara watumishi wa umma haya hawa wengine wanakubali je wanajeshi watakubali ?? Swala la kodi hakuna sehemu yeyote ambayo kodi inakusanywa kwa kubembeleza nitajie nchi moja tu .. wenzetu tena wana sheria kali za kodi tena ni fedhea kwa wenzetu ukijulikana umekwepa kodi lakini huku wakwepa kodi wanaonekana wajanja .
 
Back
Top Bottom