Benki ipi na account ipi nzuri kwa sasa?

NMB wapo vizuri na kama ni mfanya biashara wana access ya mikopo mingi na kwa uharaka ikiwa na riba ndogo,pia kama biashara zako ni za ndani basi huitaji hizo Master card na Visa sababu ukizitumia pia zinakuongezea gharama tu,NMB wana matawi kila sehem na ndo Bank pekee inayomiliki ATM yake binafsi Tanzania
Maendeleo Benki wako Vizuri
 
Back
Top Bottom