ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,462
Kwanini hakuwa sahihi na je angefanyaje sasa
haukuwa sahihi. Period
haukuwa sahihi. Period
mkuu unatakiwa kuhesabu fedha zako mwenyewe kabla ya kuondoka kaunta.. Kama unaona unaenda kutoa pesa nyingi ni afadhali uongozane na mtu unaemuamini akusaidie kuhesabu.. Hii yote ni kuondoa utata..
Kma wewe ulivyoongoza na huyo kwenye avatar yako hahahahhahahahaha (jokes)
ha ha ha.. Never trust women in counting money lol.. (kidding).. Upo wewe..? Umekuwa adimu sana..
Nime withdraw kiasi cha pesa kinachozidi ml, 5. Namwomba bank taller anihesabie ilinithibitishe kama ziko sawa, ananijibu, huoni watu walivyojaa hapa then unataka nipoteze muda kukuhesabia pesa zako, kaa pembeni uhesabu wapishe wenzako wapate Huduma.
Nilihuzunika sana sikuondoka nikakomaa hadi mlinzi akaja akamaliza ubishi akamwambia muhesabie tu.
Hoja hapa ni kwamba yeye anatumia muda mfupi sana kuhesabu kwa mashine, iweje Mimi nisimame pembeni ya cub kwa muda mrefu kuhesabu wakati machine ipo?
Naomba nikosolewe kama nilikosea.
Nipo mkuu shughuli zimenikamata ile mbaya yaani kuingia huku ni kwa kubeep kama sina shuguli nyinngi si unajua mwanzo wa mwaka ni vyema tutafute sana
mmhm kkwanini humuamini mwanamke?
Tujijengee tamaduni za kusoma matangazo yanayowekwa kwenye maeneo yetu na kuyaelewa....as you did.
haya tafuta ukipata basi ulete tugawane lol.. Si unajua kizuri kula na wenzio..
ladyfurahia mwanamke akishaona pesa mikononi mwa mwanaume ni shida.. Akipiga kirungu kikadunda ni lawama kwenda mbele maana ameshaona pesa halafu umuambie huna.. Au kuna shida nyingine ambayo inabidi ikatatuliwe..
Ila mwisho wa siku hiyo hiyo mashine mnayo-share na teller unapopewa ela zako unatakiwa uhakikishe tena kwani teller yeye tayari zile hela zimeshahesabiwa zipo kwenye bundle hivyo anachofanya ni kuhakikisha kama bundle lipo mwake tofauti na wewe unapozipata (hata hivyo 5 m kwa bank zingine si unaingia chamber)Ulikuwa sahihi kabisa. Nadhani umefika muda wa kuwa na machine ya kuhesabia pesa na upande wa mteja, ingawaje mara nyingi huwa tuna-share machine ya teller!!
Hahahahahah shem jamani kwahiyo wewe huwezi kumuamini mkeo au mwanamke kwa jambo hilo la pesa hahahahahahahhahahahaaaaaaaaa
ila si wanawake wote wako hivyo bestito wakiona hela roho zinawatoka ni wachache tu mbona mm
Good sana, ungejaribu kusogea pembeni unahesabu akamhudumia mtu mwingine ingekula kwako, ingekosekana hata buku wasingekupuka angekuambia umeichukua wakati anamhudumia mwingine. Umefanya vizuriNime withdraw kiasi cha pesa kinachozidi ml, 5. Namwomba bank taller anihesabie ilinithibitishe kama ziko sawa, ananijibu, huoni watu walivyojaa hapa then unataka nipoteze muda kukuhesabia pesa zako, kaa pembeni uhesabu wapishe wenzako wapate Huduma.
Nilihuzunika sana sikuondoka nikakomaa hadi mlinzi akaja akamaliza ubishi akamwambia muhesabie tu.
Hoja hapa ni kwamba yeye anatumia muda mfupi sana kuhesabu kwa mashine, iweje Mimi nisimame pembeni ya cub kwa muda mrefu kuhesabu wakati machine ipo?
Naomba nikosolewe kama nilikosea.
Ninamuamini sasa mke wangu.. Ila katika mazingira fulani hivi inabidi nitengeneze mazingira ya kutotengeneza ugomvi.. Njia moja ni hiyo ladyfurahia..
Unasema wewe huna tatizo hilo..?
ila mm hata ukiniwekea hela mezani kama hujaniambia ni ya matumizi gani basi utaikuta hapohapo mpaka urudi bestito hahahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
sawa lkn machine nayo inadanganyaMkuu inachukuwa muda sana kama umetoa pesa nyingi kidogo,teller akikuhesabia inakuwa rahisi na unadhibitisha kwa kuangalia namba kwenye mashine ya kuhesabia, otherwise wazo la kuongozana na mtu unaemwamini ni poa.