King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,678
- 68,651
Msanii na producer al-maarufu kama benja wa mambo jambo kuna tetesi amepata ajali
Sos:EA Radio lakin bado haijathibitishwa
NB:kama amepata ajali leo,hii itakua ya pili ndani ya wiki hii,mara ya mwisho alipata mwishon mwa january 2012 alidondoka na gari mtaroni akachanika kidole na kama hii ya pili ina maana anaendesha gari bila kua na uzoefu au uzembe?
Sos:EA Radio lakin bado haijathibitishwa
NB:kama amepata ajali leo,hii itakua ya pili ndani ya wiki hii,mara ya mwisho alipata mwishon mwa january 2012 alidondoka na gari mtaroni akachanika kidole na kama hii ya pili ina maana anaendesha gari bila kua na uzoefu au uzembe?