Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Kila mmoja ana makosa yake na Mkapa ndiye mwanzilishi wa maovu tunayoyaona sasa. Wengine wameiga mkumbo kumbe ukiwa rais unatakiwa uwe mwizi n.k.
Makosa ya Mkapa hayamwondolei hatia yake ya ubadhilifu na mikataba mibaya kuwahi kujiri duniani.
Nina mashaka kama 2015 tutafika salama.
Makosa ya Mkapa hayamwondolei hatia yake ya ubadhilifu na mikataba mibaya kuwahi kujiri duniani.
Nina mashaka kama 2015 tutafika salama.