Navyojua mishahara yao wanalipa kwa kutumia benki labda kama una swali jingine zamani mishahara walikua wanalipia dirishani kwa mhasibu siku hizi wamebadilika kidogoHabari wadau, nimeona BMAF wanatafuta Fin manager, naona kua nimequalify ila najishauri maana sina idea wanalipaje mishahara. Je kuna incentives nyingine? Kuna anayejua afunguke. Itasaidia kufanya maamuzi
natanguliza shukrani
Habari wadau, nimeona BMAF wanatafuta Fin manager, naona kua nimequalify ila najishauri maana sina idea wanalipaje mishahara. Je kuna incentives nyingine? Kuna anayejua afunguke. Itasaidia kufanya maamuzi
natanguliza shukrani
<br />Navyojua mishahara yao wanalipa kwa kutumia benki labda kama una swali jingine zamani mishahara walikua wanalipia dirishani kwa mhasibu siku hizi wamebadilika kidogo
Pole sana kwa majibu ambayo naamini bado hayajakuridhisha. Ushauri wangu ni kuwa omba likizo au off ya muda mfupi nenda kwenye hizo training angalia maslahi ndo utoe maamuzi kabla hujaandika barua ya kuresign. unaweza kufika kule ukakuta salary haieleweki itakuwa ngumu sana kwako na kurudi hauitawezekana.
Be blessed always.
Habari wadau, nimeona BMAF wanatafuta Fin manager, naona kua nimequalify ila najishauri maana sina idea wanalipaje mishahara. Je kuna incentives nyingine? Kuna anayejua afunguke. Itasaidia kufanya maamuzi
natanguliza shukrani