Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
hata mm sipandi gari yenye bendera ya ccm
Kama wewe huwezi wengine wanaweza, usisemee nafsi za watu wengine, hata mimi gari ikitundika bendera ya mafisadi sipandi. Usiwe mwoga wa mabadiliko, uwoga na ujinga wa watz ndiyo mtaji wa CCM kuendelea kubaki madarakani, hivi sasa watu wengi wamevaa ujasiri na werevu ndiyo maana unaona watu wanaacha mizinga wanakuja kutisha wapiga kura
Ingawa sipo huko A town ila nilisikia kwa mdau mmoja kuwa bendera nyingi za chadema zimemwagwa bure huku CCM wakizitoa kwa kuwapa hela wananchi,
mie napenda kusemaCCM khaaa huo s sidhani ni kweli watu hawapandi hizo daladala ati kwakuwa zina bendera ya CCM haiwezekani kabisa wandugu yaani mie niko kituoni niache kuwahi mjini kwakuwa daladala ina bendera ya asa uta kuwa ulimbukeni,
kwa upande wa pili hili liko wazi kuwa watu wanaonekana wamekichoka CCM ila sasa je wamejiandikisha kupiga kura au nao ndio walewale wa lile tangazo ulipiga kuraaa???? khaaa mei niache kuingiza siku nika pige kura????
wananchi wamekosa elimu ya urai esp upigaji wa kura wananchi hawaju kabisa haki zao ni wanaongea tuu huko uswahilini.
Leo nilipakia kidaladala, baada ya muda nilisikia driver akizungumza na mwenzake ndanii ya gari kuwa leo nilimtumrudishia tajiri yangu funguo za gari kwa sababu alifngia bendera ya ccm kwenye gari analoliendesha na alipomwambia tajiri yake aiondoe hiyo bendera, tajiri akamjibu gari ni lake na anauwezo wa kufanya chochote kwenye gari lake. Ndipo huyo dereva akamrudishia fungua ni kumwambia kuwa hawezi kuendesha gari lenye bendera ya ccm kwani abiria wengi kwa sasa hawapakii magari yanye bendera ya ccm, kwani wameichukia sana.
Nilipojaribu kufuatilia zaidi mazungumzo ya abiria wengine, niligudua kuwa wengi wanakerwa na tabia ya watu kubandika/kufunga bendera za ccm kwenye magari na baadhi yao walidai kuwa hapandi kabisa magari yenye bendera hiyo.
Ingawa sipo huko A town ila nilisikia kwa mdau mmoja kuwa bendera nyingi za chadema zimemwagwa bure huku CCM wakizitoa kwa kuwapa hela wananchi,
mie napenda kusema sidhani ni kweli watu hawapandi hizo daladala ati kwakuwa zina bendera ya CCM haiwezekani kabisa wandugu yaani mie niko kituoni niache kuwahi mjini kwakuwa daladala ina bendera ya CCM khaaa huo sasa uta kuwa ulimbukeni,
kwa upande wa pili hili liko wazi kuwa watu wanaonekana wamekichoka CCM ila sasa je wamejiandikisha kupiga kura au nao ndio walewale wa lile tangazo ulipiga kuraaa???? khaaa mei niache kuingiza siku nika pige kura????
wananchi wamekosa elimu ya urai esp upigaji wa kura wananchi hawaju kabisa haki zao ni wanaongea tuu huko uswahilini.
Ukiona hivyo ujue mwenye gari CCM na Dereva CHADEMAKweli, hata mimi leo nilikuwa A town, binafsi sifurahii kupanda hiace yenye bendera ya ccm, nilikuwa naagalia kabla ya kupanda kwa sababu magari yako mengi, hivyo nina uhuru wa kuchagua.
Nahisi ni kweli bendera yaweza kuwa sababu ya kupata abiria wengi, kwani kuna hiace mmoja ilikuwa na bendera mbili, labda alitaka abiria wa vyama vyote viwili.
Hebu acheni uzushi. mnazungumzia Arusha ipi nyinyi mandondocha wa mbowe na Lema wake? mimi nipo hapa Arusha na sijawahi ona huu ujinga mnaoongelea hape. BIG UGORO kuanzia waleta maada mpaka wachangiaji.