Huwezi kumpa kocha yale magarasa ukategemea matokeo mazuri. Roberinho alikuwa na forward ya Baleke na General Phiri back up ikiwa ni Boko, katikati na pembeni wakawepo Chama na Ntiba kabla umri haujawatupa mkono. Leo Par na Fred ndo forward za kutegemewa hadi kocha analazimika kuchezesha fake 9 kuficha madhaifu.Ukilinganisha takwimu za kocha objective na huyu Benchika za mr objective ni nzuri kuliko za huyu.
Najua mtakuja na mapovu ila muda utaongea
dahAu hii Yanga imejiunga Freemasons?
jamaa ana kismatHuyu kocha imetokea tu wana Simba kumpenda ndio maana hakuna anayefikiria swala la mbinu, ufundi, au upangaji wa kikosi bali lawama zinamuangukia Mangungu na Try again. Ila ukiangalia Simba ya misimu kadhaa nyuma ilikuwa sio bora ila makocha waliweza kutembea nayo kwa mbunu.
Robertinho kacheza na wachezaji hao hao wa kikosini na akaweza kuwabana ipasavyo Al Ahly. Robertinho kaondolewa sio kwa takwimu bali aina ya mpira na kufungwa na Yanga goli nyingi. Benchikha katupa taulo mapema kabisa.
Mechi za CAF zipi, hizi ambazo waarabu wamewapiga mbele na nyuma?Pamoja na Benchichak kua hana mbinu pia wachezaji wa Simba wanachagua mechi, Simba iliyo cheza jana sio sawa iliyo cheza mechi za CAF sasa sijui ni mgomo au kuna nini
Shida sio kocha ila viongozi janja janja wa Simba wametuaminisha hvyo!!!!!Ukilinganisha takwimu za kocha objective na huyu Benchika za mr objective ni nzuri kuliko za huyu.
Najua mtakuja na mapovu ila muda utaongea
Kocha mzuri, timu isajili watu wa maana. Simba hakuna wainga wa maana, Washambuliaji ndiyo hovyo kabisa, viungo Washambuliaji anayejitahidi Chama, Viungo wengine tia maji tia maji. Michezaji haina kasi, jamani hiyo Simba yenu inatakiwa kujengwa upya. Mpira hauhitaji siasa. Yanga kila msimu wanaimarisha kikosi tena Kwa wachezaji wazuri.Ukilinganisha takwimu za kocha objective na huyu Benchika za mr objective ni nzuri kuliko za huyu.
Najua mtakuja na mapovu ila muda utaongea
Hata aje kocha kutoka mbinguni kwa wachezaji wale hali itakuwa ile ileUkilinganisha takwimu za kocha objective na huyu Benchika za mr objective ni nzuri kuliko za huyu.
Najua mtakuja na mapovu ila muda utaongea
Hivi wale watu wazima vipi ukiwaongeza posho za bonus na hamasa hawawezi kweli kufanya mambo ?Hata aje kocha kutoka mbinguni kwa wachezaji wale hali itakuwa ile ile
Nyie ndio mnafanya Manara aonekane mkweli kuhusu JK na baba yake, kwa hiyo wewe mechi ya CAF umeona dhidi ya Al Ahly tu? ya Wydad, Asec na Jwaneng hukutazama ndugu Mwakarobo first year class of 2024?Mechi za CAF zipi, hizi ambazo waarabu wamewapiga mbele na nyuma?