KAZIMOTO
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 1,073
- 324
.Akiwa TISS yeye ndiye aliyefuatilia ile issue ya Mke wa Mzee Kitine kwenda kutibiwa nje ya nchi kwa Mamilioni ! ni KACHERO mzuri sana lakini ninapata shida sana na utendaji wake katika siasa maana hizi TISS na SIASA haviendani kabisaaa !
kama wewe sio TISS unajuaje kuwa ni kachero mahiri wakati kazi zao ni siri? ya Kitine pekee ilikuwa wazi haitoshi kumpa Membe kuwa kachero mzuri. Twambie mengine aliyoifanya TISS na taifa kama hutajali kwani naamini majukumu ya TISS hayako wazi kiasi hicho wewe ulipata wapi?