*Beijing Olympics 2008*

Hivi Tanzania tulishawahi kupata medali ya dhahabu katika olympics. Nauliza kwa kuwa sikumbuki lusikia tumepata medali ya dahabu. Akina Bayi na Nyambui nafikiri waliishia fedha na shaba tu ingawa walishinda dhahabu kwenye Commonwhealth na IAAA.
 
Hili halina mjadala. Tutatia "aibu "kama tulivyofanya kule Athens 4 years ago kwa sababu hakuna kilichorekebishwa after Athens

Ndugu Game Theory na wana JF je hadi leo hamjafahamu kuwa "AIBU" ni jina la pili la Tanzania?
 
Nchi imepeleka wanamichezo kumi tu just imagine, lack of preparation, kenya wenzetu wana almost mia, sisi hatuna preparations eti na waziri naye kaenda Mkuchika na watu kumi hii ni insane kweli, kakaa kupiga kelele mara leo wimbo wa taifa usiwe ringer tone kwenye simu, mara wana habari waende shule, akirudi wala hutasikia anaweka mkakati wowote for the next olympic.
 
Mi nawaomba wale wanamichezo waliokuwa shapu wajilipuwe tu huko huko wanaweza kukatisha maboda ,asiludi mtu labda goigoi.
 
Mi nawaomba wale wanamichezo waliokuwa shapu wajilipuwe tu huko huko wanaweza kukatisha maboda ,asiludi mtu labda goigoi.

No, boda la kutoka China kuingia viwanja huwa wanadedi watu kwenye makontena. Wangerudi tu, wakasubiri wakipelekwa NY Marathon na viwanja vingine vya maana huko ndo wakabinjuke, hopefully kesi za Zanzibar kujitoa zitakuwa zishaanza watajilipua kikimbizi. Wakila tunda Uchina huko wanaweza wakalosti bure tu.
 
I THINK nina matatizo kichwani,mnaposema tanzania itatia aibu,nashindwa kuelewa,tutatia aibu because long time ago we were a force to reckon with in sports or what?as far as i know tanzania has never excelled in any sport,apart from one or two flashes in the pan.Tanzania haijawahi kuwa na mwanamichezo,apart from one Filbert Bayi
 
ama kweli sikio la kufa ni la kufa tu, hamna hata tunakofurukuta furukuta jamani...yaani kote ni bahati nasibu tu....olympics,soka, miss nini sijui, uongozi bora, uchumi...
anyway, ladies and gentlemen ngoja na mimi niende kuwatch opening ceremony nadhani wameshaanza sasa hivi ...see you later

chao!!
 
Jamani hii ni temp thread

lakini sasa nishajua kwa nini ule uwanja wetu wa Taifa ulijengwa na wachina umetushinda

Duh!

mwenye TV karibu hebu tazameni whats going on
 
Some snapshots from the opening ceremony:

More to come.....

2cpqc0j.jpg
 
I think it is the best and most extravagant Olympic opening ceremony ever!!!!!
 
Ni onyesho ambalo limeandaliwa vizuri sana. Nasubiri kwa hamu kuwaona wanariadha wetu 10 watakapoingia uwanjani.
 
Tunataka sana hayo maendeleo sasa kwa nini hatu mobolize hao watu kwenye maendeleo. Is it that hard?

Kujenga uwanja hatuwezi....na ku-maintain hatuwezi. Tunaweza nini....ufisadi?

Kumbuka maneno ya Nyerere ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi (tunavyo), siasa safi na uongozi bora (viwili vya mwisho hatuna). Matataizo yetu ni uongozi mbaya na siasa mbovu za ufisadi badala ya maendeleo.
 
Tunaangalia nyumbani through TBC1 exclusive.

Nchi zinaingia nchi yetu bado... tusubiri, I hope tuna at least uniform.
 
Kumbuka maneno ya Nyerere ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi (tunavyo), siasa safi na uongozi bora (viwili vya mwisho hatuna). Matataizo yetu ni uongozi mbaya na siasa mbovu za ufisadi badala ya maendeleo.

Nah...matatizo yetu ni zaidi ya uongozi mbaya na siasa mbovu. Kule Afrika Kusini makaburu walikuwa na uongozi mbaya na siasa mbovu lakini waliweza kuijenga Afrika Kusini. Na kwa nini katika karibu kila nchi ya Afrika kusini mwa jangwa la sahara kila nchi iwe na uongozi mbaya na siasa mbovu? Hii siyo accident.....kuna kitu hapo maana hata nchi zenye maliasili kibao kama Nigeria na Angola na zenyewe ziko hohehahe tu.....
 
Back
Top Bottom