Bei ya Water pump Ndogo (Manual)

Savey inalipiwa napenda,na maji yasipopatikana eneo hilo hatuwezi kuchimba maaana tutakuwa tunakuibia hela yako kwa kufanya hivyo lkn ni adimu saana maji kukosekana na mara nyingi labda utakuta tu yako mbali saana kwa hiyo itabidi tu kuchimba kwa umbali ambao maji hayo yatapatikana ndo maana ya kufanya savey na vipimo ili kujua ni mita ngapi hayo maji yatapatikana na sio kuchimba tu,kwa upande wa bei nampenda mpaka tufanye hivyo vipimo maana gharama hutofautiana kutokana na umbali wa hayo maji yanakopatikana
 
Liverpool Naomba uelezee vizuri inaweza saidia wengi kama sio mimi tu. visima mnavyochimba ni aina gani? namaanisha vya hesawa, vya kulowa na chombo, vya kujumia mashine ya umeme nk. elezea upana wa kisima. pia gharama za savey zikoje? kabla ya maamuzi mtu awe na picha halisi, kwa nilipo nimefikiria kufanya biashara ya maji na kiwanja nimepata mjini kati(halmashauri flan iko nje ya mwanza mjini) nimeshindwa kukinunua mpaka nipate uelewa juu ya uchimbaji visima.garama zake na upatikanaji wa maji. hebu elezea maswali yangu hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Ok,upo sawa NAPENDA iko hivi kwa upande wetu cc tunachimba visima(borehole) kwa kutumia mashine nakufanya casing ,in short ni visima vya kisasa na sio hivyo vya kuteka maji kwa kutumia kamba,maana visima hivi nivyakuweka pump itakayotumia umeme na xo kamba tena
 
Ok,upo sawa NAPENDA iko hivi kwa upande wetu cc tunachimba visima(borehole) kwa kutumia mashine nakufanya casing ,in short ni visima vya kisasa na sio hivyo vya kuteka maji kwa kutumia kamba,maana visima hivi nivyakuweka pump itakayotumia umeme na xo kamba tena

Ohoo nimekupata, ni vile visima vyembamba ambavyo ukichimba unatumbukiza bomba pana kuzuia kisijifukie na unatumia zile waterpump za kuidumbukiza nzima na inasukuma maji ikiwa chini ndani ya maji? kama ndio hivi ninavijua, WEKA GARAMA ZA SURVEY nijue kitu kabla ya maamuzi pia kama unajua bei ya zile pump nisaidie
 
Ok kama umenielewa hapo sawa,kama utakuwa upo dar es salaam gharama ya savey ni laki mbili(200,000/=) na hizo pump hutofautiana kulingana na uwezo wake(hose power) nafikli kwa upande wa pump ni wewe mwenyewe sasa mwenye kisima unataka uweke pump yenye uwezo gani ili iweze kukidhi matumizi yako
 
Liverpool:Nahitaji pump ya kuvuta Maji 80m kutoka kisimani(chini ya Ardh),naomba msaada aina ya pump &bei.ili wastani wa Maji kwa 1hr=600mmm
 
Back
Top Bottom