hongera kaka kwa kujenga sisi bado tunapanga -- hali inazidi kuwa mbaya sana, nilishawahi kuuliza bei ya sementi nikatoka mita duh wengi hatutajenga.
mm mnijuze bei za vipuli na kanga za congo bei zake jameni!
usiusemee moyo,mi nnachokitaka ni bei za khanga na vipuri!watu kwa kwenda off topic bana mnatisha, sasa bati na kanga wapi na wapi jamani
bado tunaishi nyumba za kupanga, kujenga sisi tumeshafuta mawazo kabisa kwa sasa tunahangaika na school feez za watoto na msosi tu. hayo mengine ya ujenzi ni ndoto; kwanza viwanja vyenyewe ugonjwa wa moyo, unless uamue kuhama mwenge uende kutafuta kisehemu majohe au kisalawe kule km 50 na zaidi toka airport. sasa hayo mateso ya nini wakati maisha yenyewe ya duniani ni mafupi tu.1. Bado unapanga lini na wapi utajenga?
2. Bado unapanga bei ya bati?
Samahani sijakuelewa kaka Fuso
hongera kaka kwa kujenga sisi bado tunapanga -- hali inazidi kuwa mbaya sana, nilishawahi kuuliza bei ya sementi nikatoka mita duh wengi hatutajenga.
The price is 7000-12,000tsh per ft.Hivi bei ya yale ya migongo mipana ambayo yako pre-coated yanauzwaje? Naomba na mimi kijua bei plz
Hivi bei ya yale ya migongo mipana ambayo yako pre-coated yanauzwaje? Naomba na mimi kijua bei plz
The price is 7000-12,000tsh per ft.
Mkuu hiyo bei ni kwa futi au mita? cheki vizuri kidogonafikiria kuezeka kwa kutumia haya mabati ya ALAF migongo mipana (sijui jina lake halisi) nimecheck ni 13,000 per ft. kule nyerere road karibu n TAZARA. naomba wataalam mnishauri uzuri wa mabati haya au kama kuna mapendekezo mengine. NB sifikirii kutumia vigae kutokana na bajeti ila ningependa bati nzuri na imara zaidi
Mkuu hiyo bei ni kwa futi au mita? cheki vizuri kidogo[/QUOT
Nenda jeshini mkuu pale opposite na TIA utachagua bati unayotaka pale pale unatafuta mwanajeshi anakupa no. Ya kitambulisho unaondoka na mzigo mimi siamini jinsi nilivyoweza kupaua jumba langu kwa bati za migongo mikubwa za 2.4mil tuu!ujenzi wkt mwngn ni techniques mkuu!tena bati za jeshini zinatoka India na zina ratio kubwa ya aluminium so kushika kutu ni ndoto.
bado tunaishi nyumba za kupanga, kujenga sisi tumeshafuta mawazo kabisa kwa sasa tunahangaika na school feez za watoto na msosi tu. hayo mengine ya ujenzi ni ndoto; kwanza viwanja vyenyewe ugonjwa wa moyo, unless uamue kuhama mwenge uende kutafuta kisehemu majohe au kisalawe kule km 50 na zaidi toka airport. sasa hayo mateso ya nini wakati maisha yenyewe ya duniani ni mafupi tu.
Hii awamu ya huyu jamaa imetuchanganya wengi mno, hongera nyie mlio na access ya mzunguko wa pesa, sisi laki tano tano siku 30 ni mateso bila chuki.
Mkuu hiyo bei ni kwa futi au mita? cheki vizuri kidogo