Jana wakati naenda kwenye shughuli zangu asubuhi nilivuka vizuri kwa sh 1500, ila maajabu ni wakati narudi naambiwa kwamba TRA wametoa mabadiliko ya bei kwa magari madogo na kupandisha hadi sh 2000. Kuanzia Jana trh 30/04/2020.
Nikajiuliza daraja limejengwa na Mfumo wa NSSF.iweje bei waje kupanga
Unajua wakati swala la level seat linaanza daladala za Kigamboni zilifanya mgomo ili wapunguziwe malipo.walidai kwamba kulipola sh 5000 kila gari linapopita haitowezekana tena, na kweli isingewezekana la sivyo wangekuwa hesabu nzima wanaiacha darajani.
Sasa nadhani think tank wa TRA wakakaa wakaamua kuja na wazo la kuongeza bei upande wa pili.
Hivi jamani katika kipindi choote mkaona kipindi hiki cha korona ndio mpandishe bei darajani? Nimeamini kweli hamtujali kabisa RAIA wenu.
Nikajiuliza daraja limejengwa na Mfumo wa NSSF.iweje bei waje kupanga
Unajua wakati swala la level seat linaanza daladala za Kigamboni zilifanya mgomo ili wapunguziwe malipo.walidai kwamba kulipola sh 5000 kila gari linapopita haitowezekana tena, na kweli isingewezekana la sivyo wangekuwa hesabu nzima wanaiacha darajani.
Sasa nadhani think tank wa TRA wakakaa wakaamua kuja na wazo la kuongeza bei upande wa pili.
Hivi jamani katika kipindi choote mkaona kipindi hiki cha korona ndio mpandishe bei darajani? Nimeamini kweli hamtujali kabisa RAIA wenu.