Habari
wana jamii naomba kuuliza kwa yeyote anayefahamu bei ya cement kwa
kiwandani kwa bei ya jumla na kama ukihitaji ni kuanzia mifuko mingapi
au kama kuna sehemu naweza kupata kwa bei nzuri ambayo na mimi nitapata
angalao faida kidogo kwa anaye fahamu naomba anisaidie.Ni kwa hapa hapa Dar
wana jamii naomba kuuliza kwa yeyote anayefahamu bei ya cement kwa
kiwandani kwa bei ya jumla na kama ukihitaji ni kuanzia mifuko mingapi
au kama kuna sehemu naweza kupata kwa bei nzuri ambayo na mimi nitapata
angalao faida kidogo kwa anaye fahamu naomba anisaidie.Ni kwa hapa hapa Dar