Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Wakulu wa jamvi habari za siku.
Nina shida mbili ambazo nitahitaji ushauri wenu, Hapa Tanzania ni kampuni gani inayotoa service ya Domain Registration kwa bei nzuri na ambayo siyo yakubabaisha na vile vile ni ISP gani ambaye anatoa huduma nzuri vilevile kwa matumi ya kawaida connection ya PC moja tu.
Asantenti.
MJ
Nina shida mbili ambazo nitahitaji ushauri wenu, Hapa Tanzania ni kampuni gani inayotoa service ya Domain Registration kwa bei nzuri na ambayo siyo yakubabaisha na vile vile ni ISP gani ambaye anatoa huduma nzuri vilevile kwa matumi ya kawaida connection ya PC moja tu.
Asantenti.
MJ