Bei mpya za kuunganisha umeme!!

kwa
wateja watakaojengewa njia moja (single phase)
kwenye umbali usiozidi mita 30 bila kuhitaji
nguzo, katika maeneo ya vijijini watalipa Shilingi
177,000 na wa mijini watalipa Shilingi 320,960 badala ya Shilingi 455,108 zinazolipwa na wateja
hao kwa sasa. Punguzo hili ni sawa na asilimia
61.11 kwa wateja waishio vijijini na asilimia 29.4
kwa wateja waishio mijini.

ahsante kwa kutujulisha hizo rates mpya lakini nina swali dogo,je miji midogo ya tarafa katika wilaya zilizoko vijijini kama karagwe zitahesabiwa kama kijijini au mjini!!!natanguliza shukrani
 
jirani ni vyema wakalipa fidia,maana mtu unavuta nguzo nne na unalipia peke yako na ukisha maliza tu,asubuhi nao wanakimbilia kuweka umeme.
Tanesco lazima waliangalie hili
 
Hivi kwanini tunalipia Gharama za kuvuta Umeme...?? Mi nadhani ni kama vile kuweka kiingilio Dukani... Ukitaka kuja kununua nguo say kwenye duka fulani ulipe kiingilio mlangoni halaf ndio ukachague unachotaka na ukipata bidhaa Ulipie Tena...
Sisi ni wateja wa Tanesco, tunapochargiwa connection fee na nguzo fee, wakati hatuelezwi hizo fedha zinarudije kwa mteja ni utemi flani....Kwasababu siku ukitaka kuachana na Tanesco ukawaambia wakupe Nguzo zako ulizonunua, Ukachane hata mbao za kujengea banda la kuku, Je watakupa? Na kama sababu ni kwamba wengine watakuwa wanatumia nguzo hizo hizo kupata umeme, kwanini wasikurefund pesa zako basi, hata kwa depreciation...

Tunalipa Gharama kuubwa kwa umeme wa mashaka... Mara umekuja mwingi unaunguza vitu na nyumba za watu, mara umekuja mdogo hauwezi kuwasha pasi... Mara ohooo Mgao miezi sita kwa masaa 16 nchi nzima...
Wananchi tusikubali kuburuzwa namna hii..Kwakuwa system ni corrupt...Basi, Ni wakati Muafaka Kuanza kutumia Umeme Jua au njia nyingine za kuzalisha umeme kama upepo nk...halafu tuone na hizo wanatucharge connection fee, au solar panels ownership fee...

Kwa mtu anayehitajika kuvuta umeme kwa kutumia nguzo tatu au nne, anaweza kabisa kuafford kuwa na umeme wake mwenyewe unaotumia Solar, tena bila hata ya gharama za uendeshaji na matumizi kama vile Luku....
NI MTAZAMO TU.
Hivi kwanini tunalipia Gharama za kuvuta Umeme...?? Mi nadhani ni kama vile kuweka kiingilio Dukani... Ukitaka kuja kununua nguo say kwenye duka fulani ulipe kiingilio mlangoni halaf ndio ukachague unachotaka na ukipata bidhaa Ulipie Tena...
Sisi ni wateja wa Tanesco, tunapochargiwa connection fee na nguzo fee, wakati hatuelezwi hizo fedha zinarudije kwa mteja ni utemi flani....Kwasababu siku ukitaka kuachana na Tanesco ukawaambia wakupe Nguzo zako ulizonunua, Ukachane hata mbao za kujengea banda la kuku, Je watakupa? Na kama sababu ni kwamba wengine watakuwa wanatumia nguzo hizo hizo kupata umeme, kwanini wasikurefund pesa zako basi, hata kwa depreciation...

Tunalipa Gharama kuubwa kwa umeme wa mashaka... Mara umekuja mwingi unaunguza vitu na nyumba za watu, mara umekuja mdogo hauwezi kuwasha pasi... Mara ohooo Mgao miezi sita kwa masaa 16 nchi nzima...
Wananchi tusikubali kuburuzwa namna hii..Kwakuwa system ni corrupt...Basi, Ni wakati Muafaka Kuanza kutumia Umeme Jua au njia nyingine za kuzalisha umeme kama upepo nk...halafu tuone na hizo wanatucharge connection fee, au solar panels ownership fee...

Kwa mtu anayehitajika kuvuta umeme kwa kutumia nguzo tatu au nne, anaweza kabisa kuafford kuwa na umeme wake mwenyewe unaotumia Solar, tena bila hata ya gharama za uendeshaji na matumizi kama vile Luku....
NI MTAZAMO TU.
Nasubiri siku watakapo kuja kuniambia wanafungia watu umeme kwenye transformer yangu bila kuni-refund,nadhani moto
utawaka.
 
Back
Top Bottom