kwa
wateja watakaojengewa njia moja (single phase)
kwenye umbali usiozidi mita 30 bila kuhitaji
nguzo, katika maeneo ya vijijini watalipa Shilingi
177,000 na wa mijini watalipa Shilingi 320,960 badala ya Shilingi 455,108 zinazolipwa na wateja
hao kwa sasa. Punguzo hili ni sawa na asilimia
61.11 kwa wateja waishio vijijini na asilimia 29.4
kwa wateja waishio mijini.
ahsante kwa kutujulisha hizo rates mpya lakini nina swali dogo,je miji midogo ya tarafa katika wilaya zilizoko vijijini kama karagwe zitahesabiwa kama kijijini au mjini!!!natanguliza shukrani