mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,142
- 5,634
Wadau nimesikia baadhi ya Wabunge wakipongeza Wizara ya Nishati na Madini kwa kushusha viwango vya kuunganisha umeme. Naomba kwa yeyote mwenye viwango vipya anipatie tafadhali. Hii itatusaidia kwa wale ambao bei ya kuunga umeme ilikuwa inatusumbua tuweze kuunganisha faster. Pia viwango vipya vitaanza kutumika lini. Thanx JF.