Begin your webhosting Company with Zpanel

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Aug 11, 2012
5,745
2,338
Hi wadau wa haya mambo ya Webhosting na Domain registration
Nimekua very anxious siku nyingi kujua walau "abc" za web hosting and domain registration sana sana ku host multiple websites mfano 20 websites kwa walau server hata ya 10$/month kwa server moja, namshukuru mdau mkongwe wa hapa JF bwana Paje alinipa idea kwamba kuna Free open source panel(Zpanel) ambako itaniwia rahisi kuwa na kitu kama Webhosting company na kuweza ku host number kubwa ya websites ikiwa tayari ninayo server.

Nimeona sio Vibaya ku share na wadau wenzangu hii kitu ya Zpanel
Najua katika sharing hii na mm ntapata faida kadhaa ikiwemo kupata maarifa zaidi na experience ya wadau wengine
Zpanel japo hatuwezi ishindanisha na cPanel ila kwa kweli inaweza ku perfom almost all task zpanel inaweza kufanya.

Leo katika mda wangu wa Ziada niliaanda video nkai upload Utube ready for sharing na wadau wangu kadhaa katika nchi za jirani nikaona sio vibaya nkitupia na kitu kidogo nilichokielewa zpanel kwa jukwaa letu pendwa jukwaa ambalo linatulea katika technolojia.

Hapa chini taweka baadhi ya Tips zilizonisaida kuweza kupandisha sites kama tatu za kizushi hewani

Requirements
1.Virtual Private server or dedicated server kulingana na Budget yako
Kwa hapa nta recommend site mbili moja ni ya VPS na nyingine ni Dedicated server zote hizi sites nimezitumia na zinatoa quality service na bei zao zinaeleweka ukilinganisha na wengine

VPS server from THIS LINK

Dedicated server from THIS LINK

2.Pia utaiitaji Domain katika tutorial yangu nimetumia Free domains kutoka freenom waweza kuwacheck kwa kugonga hii LINK

3.Account ya cloudflare mm natumia free account kwa ajili ya kulink freenom/1&1 nameservers na VPS yangu
Wacheck cloudflare kupitia HAPA

Ukiwa na hizo Requirements basi fata hizi hatua

1.Login to your VPS/Dedicated server and execute the following commands
N:B Replace yum with apt-get kama hautumii RPM linux distros kama CentOS na utaitaji kutumia script ya respective distro

Code:
yum -y update

Code:
yum -y install wget

Code:
wget https://raw.github.com/zpanel/installers/master/install/CentOS-6_4/10_1_1.sh

Code:
chmod +x 10_1_1.sh

Code:
./10_1_1.sh

Installation ya Zpanel inaweza kuchukua dakika nyingi kama 15minutes hivo ukiona ime hang hewani usifikiri ime fail bali ina load mafile

2.Kama wewe ni mpenzi wa Wordpress au Drupal CMS basi waweza ku enable Zantastico x hii itakusaidia kuinstall hizo systems

3.Katika Zpanel jaribu Generate Reseller account moja kisha wewe kama main administrator Shadow hiyo reseller account(Login kama vile wewe ndie reseller)
Add domains zako na subdomains kisha ongeza FTP account ya huyo resller kwa ajili ya ku Upload websites zake

33aBVU.png


zgUGKl.png


4.Baada ya hapo Login Cloudflare na kwa huyo Domain registrar wako ili uweze ku link server IP adress yako kwa Cloudflare na Cloudflare watakupa Names servers ambazo utazi replace na zile za domain registrar wako katika website yake

9aXRIH.png


5q1t0x.png



Ukisha fanya haya yote it takes less than minuts hizo nameservers kuwa tayari zimeivana na sites zako unaweza kuzipandisha hewani

For details waweza kucheck video hii yangu ya youtube haiko vizuri ki vile ila inaweza kukusaidia

 
Last edited by a moderator:
tatizo vps nyingi zina latency ndogo, hebu tupe demo za website hata moja tuangalie speed.
 
tatizo vps nyingi zina latency ndogo, hebu tupe demo za website hata moja tuangalie speed.

Sijajua uli test VPS za kampuni gani?
Na je,Network speed ilikua 100Mbps au 1Gbps?
Mm sijaona VPS yenye Latency zaidi ya 9ms nsijue za 100Mbps maana sijawai kuzitumia
Sijui kama hiyo latency ni mbaya au la?

0MUXC2.png


Pia katika maelezo yangu hapo juu nimeweka Site wanatoa dedicated server kwa 29$/month wakati kuna VPS zinauzwa 80$/month hivo kuna facts nyingi sana sidhani kama kama kitu kuwa VPS means low quality

Kuhusu speed ya website nafikiri kama VPS zinasababisha website iwe slow basi website tunazoziona leo hii zote zingekua super slow maana almost asilimia kubwa zinatumia Shared Hosting
Shared hosting na Virtual private servers tunaweza zifananisha sababu zote mnakua mnashare infrastructure Unlike dedicated server ambako hamna sharing

Nikikupa sites sidhani kama zitakupa majibu sahihi maana mm zangu hazina traffic na ni mere simple html pages
na ziko visible katika hizo images nilotoa na hapo natumia free plans
 
Hapo latency nzuri, ila website wakivisit watu wengi itatoa same speed?

Hakuna stress test yoyote unayoweza kufanya?
 
Hapo latency nzuri, ila website wakivisit watu wengi itatoa same speed?

Hakuna stress test yoyote unayoweza kufanya?

Mm sidhani kwa server ya 1Gbps inaweza kuwa affected na merely # visitors labda iwe ina run tasks kama za ku stream videos hapo ndo na mashaka
Hiyo server Nilofanya speed test iko na users wanaitumia japo wateja wakiwa Fully Online inashuka mpaka 500Mbps-900Mbps ila kipindi ikiwa Tupu kabisa bila users wa SSH na Proxy ilikua ina cheza 1400Mbps

Katika Hiyo tutorial kuna sites mbili nimetengeneza moja wapo hii Nyumbani

Ningekua na active acct ya Traffic exchange ningei settia 1000views tungepata majibu
 
Mm sidhani kwa server ya 1Gbps inaweza kuwa affected na merely # visitors labda iwe ina run tasks kama za ku stream videos hapo ndo na mashaka
Hiyo server Nilofanya speed test iko na users wanaitumia japo wateja wakiwa Fully Online inashuka mpaka 500Mbps-900Mbps ila kipindi ikiwa Tupu kabisa bila users wa SSH na Proxy ilikua ina cheza 1400Mbps

Katika Hiyo tutorial kuna sites mbili nimetengeneza moja wapo hii Nyumbani

Ningekua na active acct ya Traffic exchange ningei settia 1000views tungepata majibu

not bad
lczgMXr.jpg


1gbps kama upo mwenyewe kwa page ya kb300 watu 1000 inamaana itakuja kama 300mbps hivi, so roughly kama watu 3000 hivi online, kwa website ndogo ndogo sio mbaya ila website kama jf yenye malaki ya members haitoshi. na pia ukitoa hosting acount hao watu 3000 wa online watakua shared kwa hosting zote
 
not bad
lczgMXr.jpg


1gbps kama upo mwenyewe kwa page ya kb300 watu 1000 inamaana itakuja kama 300mbps hivi, so roughly kama watu 3000 hivi online, kwa website ndogo ndogo sio mbaya ila website kama jf yenye malaki ya members haitoshi. na pia ukitoa hosting acount hao watu 3000 wa online watakua shared kwa hosting zote
Nafikiri kwa wale walioko serious zaidi wanaweza ku opt for Dedicated servers ambako unakua haufanyi sharing...
Ila VPS or Dedicated servers zote zinaweza ku meet demands kutegemea na RAM na CPU architecture ya provider wako.
Katika hii tutorial mm nimechagua Lowend RAM and CPU package

Kuhusu websites kubwa zenye visitors wengi wana employ third party powers kama Cloudflare
Nafikiri hata JF kuna mda huwa kukiwa na shida huwa inaonesha ipo linked na cloudflare...
Faida kubwa ya kampuni kama hizo ni kwamba inafanya Caching ya pages kiasi kwamba kuziongezea speed ya ku load
 
Mm sidhani kwa server ya 1Gbps inaweza kuwa affected na merely # visitors labda iwe ina run tasks kama za ku stream videos hapo ndo na mashaka
Hiyo server Nilofanya speed test iko na users wanaitumia japo wateja wakiwa Fully Online inashuka mpaka 500Mbps-900Mbps ila kipindi ikiwa Tupu kabisa bila users wa SSH na Proxy ilikua ina cheza 1400Mbps

Katika Hiyo tutorial kuna sites mbili nimetengeneza moja wapo hii Nyumbani

Ningekua na active acct ya Traffic exchange ningei settia 1000views tungepata majibu

Mkuu hapo kwenye server hata mim nilishawahi kuona site ya Hassbaby Mapacha aliwahi kuhost kwa Yatasha Web Services ila kutona na ile site kuwa na visitor kuna saa ulikuwa ukiingia unaambiwa site iko Down kwa mim sijui kama iko na 1Gbps au lah sina hakika na hilo sasa kwa mfano nikitak kujua host fulani server zake zina nguvu kiasi gani nafanyaje
 

Mkuu hapo kwenye server hata mim nilishawahi kuona site ya Hassbaby Mapacha aliwahi kuhost kwa Yatasha Web Services ila kutona na ile site kuwa na visitor kuna saa ulikuwa ukiingia unaambiwa site iko Down kwa mim sijui kama iko na 1Gbps au lah sina hakika na hilo sasa kwa mfano nikitak kujua host fulani server zake zina nguvu kiasi gani nafanyaje
Kama wako Open watataja kwenye website yao kwamba Network speed ni 100Mbps au 1Gbps commonly used
Mind you server kuwa na 100Mbps haimaanishi haiwezi kufanya vizuri...

Na huyo jamaa yako ana visitors wengi lakini Bandwidth allocated ndo haimtoshi mwambia awacontact providers wake wambadirishie package yenye hela zaidi na B/W zaidi

Mm mwenyewe nimepatwa na B/W exceeded last yr nilikua na Host kwa jamaa fulani ila issue kama hiyo ni juu ya package ulochagua hivo nikuibadilisha package
 
tatizo vps nyingi zina latency ndogo, hebu tupe demo za website hata moja tuangalie speed.
latency=delay
latency ndogo hiyo ndio kitu kizuri sana. it means delay ndogo
latency kubwa ndio tatizo.... let us hope umekusudia latency kubwa katika maelezo yako ya hapo juu.

  • Latency: Latency is delay. Latency is how long it takes data to travel between its source and destination, measured in milliseconds.
[h=3]Latency in the Real World[/h] Let's say you are browsing the web on different types of connections. Here's how latency would "feel":

  • Satellite Internet Connection (High Speed, High Latency): You would click a link on a web page and, after a noticeable delay, the web page would start downloading and show up almost all at once.
  • Theoretical Connection (Low Speed, Low Latency): You would click a link on a web page and the web page would start loading immediately. However, it would take a while to load completely and you would see images load one-by-one.
  • Cable Internet Connection (High Speed, Low Latency): You would click a link on a web page and the web page would appear almost immediately, downloading almost all at once.
Latency always manifests as a delay. For example, if you are having a Skype chat with someone on a high-latency Internet connection, you would be out of sync with each other. You would have to pause in between sentences or you would end up talking over each other thanks to the delay.
 
latency=delay
latency ndogo hiyo ndio kitu kizuri sana. it means delay ndogo
latency kubwa ndio tatizo.... let us hope umekusudia latency kubwa katika maelezo yako ya hapo juu.

  • Latency: Latency is delay. Latency is how long it takes data to travel between its source and destination, measured in milliseconds.
Latency in the Real World

Let's say you are browsing the web on different types of connections. Here's how latency would "feel":

  • Satellite Internet Connection (High Speed, High Latency): You would click a link on a web page and, after a noticeable delay, the web page would start downloading and show up almost all at once.
  • Theoretical Connection (Low Speed, Low Latency): You would click a link on a web page and the web page would start loading immediately. However, it would take a while to load completely and you would see images load one-by-one.
  • Cable Internet Connection (High Speed, Low Latency): You would click a link on a web page and the web page would appear almost immediately, downloading almost all at once.
Latency always manifests as a delay. For example, if you are having a Skype chat with someone on a high-latency Internet connection, you would be out of sync with each other. You would have to pause in between sentences or you would end up talking over each other thanks to the delay.

nafikiri chief aliteleza hapo na mm sikustuka maana yeye ndo amekua mstari wa mbele kuwahimiza watu kuwa low latency is much better kwa internet connections

rejea

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html
 
response ya website inategemea factors nyingi sana sio speed tu ya host japo hilo nalo ni jambo la msingi sana, 1GBPs ni nzuri japo theres a better one ya 10GBPs sema its very expensive,

Na je iko hosted nchi gani, nchi iliyoko mbali na wewe siku zote inaongeza network latency,
Bado je server inarun kwenye SSD,
Bado backend kuna language ipi na inahandle vipi resources, mfano php inatumia blocking io, request zinavozidi kuingia inajiextend ku-run kwenye multiple threads lakini after a while request zikijaa threads zinablock zote site ina go down..
Bado je site inaaccess database au just a static webpage, kama ni static unaweza handle users hata laki moja kwa server moja kama una ram ya kutosha unafanyia caching ya all your data, ila kama ni dynamic kila request to the database inaongeza latency, na kama aliyeandika code hakutumia algorithms nzuri kwenye kuhandle data itaongeza latency pia... Theres way too many factors to consider mtu anavokua anapima response ya website.

In real life work vyote hivyo ni vya kuconsider
 
Mm sidhani kwa server ya 1Gbps inaweza kuwa affected na merely # visitors labda iwe ina run tasks kama za ku stream videos hapo ndo na mashaka
Hiyo server Nilofanya speed test iko na users wanaitumia japo wateja wakiwa Fully Online inashuka mpaka 500Mbps-900Mbps ila kipindi ikiwa Tupu kabisa bila users wa SSH na Proxy ilikua ina cheza 1400Mbps

Katika Hiyo tutorial kuna sites mbili nimetengeneza moja wapo hii Nyumbani

Ningekua na active acct ya Traffic exchange ningei settia 1000views tungepata majibu

website ishakufa nini?? mbona nimeona Zabeel Ladies Club Zabeel Ladies Club
 
Back
Top Bottom